Jogoo wa Shamba II
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 3,393
- 6,562
Habarini ya muda wakuu


Hayo nayo maajabu.Sikutag wala nini?
Picha huweki halafi unataka tag?
Bangi huwa unavutia wapi?Afadhali nimemuona mmoja. Bado wawili (Ameniruhusu kuweka hii picha yake hapa hivyo msinikoromee). Ila matunda bado yako pale pale
View attachment 1514132
Nazurura wapi tena jamani?SHIMBA YA BUYENZE unafukunyua nini? Maana naona unazurura kweli.
Unanitafutia kesi wewe sasa. Nyie si mmegoma kunitag mkiweka picha zenu? Kufikia Jumamosi nitakuwa nimemaliza mzigo wangu wa matunda. Nikienda kutafuta mengine tag inawahusu. Mpaka mtabwaga manyanga tu mtanitag hata kama ni kwa shingo upande





Hilo zao hapo mkuu linafanana na majani kabisa






Wewe!!!! Kweli?..
Unanitafutia kesi wewe sasa. Nyie si mmegoma kunitag mkiweka picha zenu? Kufikia Jumamosi nitakuwa nimemaliza mzigo wangu wa matunda. Nikienda kutafuta mengine tag inawahusu. Mpaka mtabwaga manyanga tu mtanitag hata kama ni kwa shingo upande![]()







Hiyo picha yangu umeitoa wapi wewe Msukuma?Hilo zao hapo mkuu linafanana na majani kabisa![]()
Huo mzururo wa June huko unatafuta nini?Nazurura wapi tena jamani?
Mbona nipo nimetulia hapa ghetoni kwangu nakunywa supu sina maneno wala ugomvi na mtu? Halafu mvua zinanyesha sasa nitazurulaje jamani?
Wewe!!!! Kweli?..
Iko page no. Ngapi? Huyu jamaa sijuie anatumiaga cha wapi?..






We weka tu hata bangi, hatukutag ng'ooo. Ukija utakuta manyoya tu.Unanitafutia kesi wewe sasa. Nyie si mmegoma kunitag mkiweka picha zenu? Kufikia Jumamosi nitakuwa nimemaliza mzigo wangu wa matunda. Nikienda kutafuta mengine tag inawahusu. Mpaka mtabwaga manyanga tu mtanitag hata kama ni kwa shingo upande![]()
Unataka niiondoe? Lakini si uliniruhusu?Hiyo picha yangu umeitoa wapi wewe Msukuma?