Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,031
- 34,666
Sana tu..
Sana tu..
Ai ofishale givapu



Muelezeeeee
Mnaweka halafu dakika moja tu mmeshafuta kha. Tutawaonaje sasa?



Wewe!!! Mimi zangu mbona zipo..Mnaweka halafu dakika moja tu mmeshafuta kha. Tutawaonaje sasa?
Dawa yenu ni kuwalisha matunda tu twenti fo seveni![]()
Nikimaliza hii dozi nikaenda kutafuta mengine mnalooo tena nawatag kabisa. Mpaka nione picha ya mmoja wenu ndiyo nitaachaAcha tu.. Anatupostia matunda badala ya picha yake..



Ooooooh kumbeeeeh hapooh sawaaahMbeya
Ziko wapi? Jana nimezisaka mpaka nikaunguza mboga hakuna kitu. Uzi mrefu sana huu. Nielekeze ziliko kama kweli zipoWewe!!! Mimi zangu mbona zipo..
Weka picha hapa..

Kwani ile nimevaa tshirt ya Simba umeiyonaje lakini?Ziko wapi? Jana nimezisaka mpaka nikaunguza mboga hakuna kitu. Uzi mrefu sana huu. Nielekeze ziliko kama kweli zipo![]()
Ile dah !!!Kwani ile nimevaa tshirt ya Simba umeiyonaje lakini?
KhaaaaIle dah !!!
Mpaka TECNO yangu ilipata moto kwa kuzoom na bado sikuona kitu.

Nikimaliza hii dozi nikaenda kutafuta mengine mnalooo tena nawatag kabisa. Mpaka nione picha ya mmoja wenu ndiyo nitaacha![]()







Mpaka mtasarenda tu. Mtakwenda wapi?
Nimechekaaaa.. poa tu.. si utakuwa umeamua hivyo..

Kwahiyo picha huweki?Mpaka mtasarenda tu. Mtakwenda wapi?
Asante kwa utani nyie dada zangu. Kucheka na kufurahi ni kitu cha muhimu sana hapa duniani.
Ila ikitokea siku mkaamua kurusha picha hapa naomba mnitap please![]()
Hata mimi nashangaaHuu Uzi naona mazungumzo mengi kuliko picha..hivi mshana hakuna kileftisho uwaleftishe wapiga soga..![]()

Hahahaha, safi ngoja tuongeze speed porini hy kitu ikae parkingMSRP inaanzia kwenye $31,000.00.
Zingine huanzia $49,000.00.
Uki i-customize zitakutoka kati ya $60,000.00 - $100,000.00.
Hii hapa ni zaidi ya 100K.
View attachment 1513635
Sikutag wala nini?Mpaka mtasarenda tu. Mtakwenda wapi?
Asante kwa utani nyie dada zangu. Kucheka na kufurahi ni kitu cha muhimu sana hapa duniani.
Ila ikitokea siku mkaamua kurusha picha hapa naomba mnitap please![]()
Mpaka leo hajaweka picha hata mojaSikutag wala nini?
Picha huweki halafi unataka tag?

Jamanii mwenye ndinga ya BMW, aweke macho yangu yamemic kuona hio chuma lol