Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Siwezi kusahau kabisa.

Nikienda utapata tu..

Nawaoneaga wivu watu wa mwanza kwenye samaki..
Ninavyopenda kula samaki aliyepikwa kiswazi
Hao dagaa wa mafuta kuna bingwa huwa ananileteaga, wakiisha basi huwa nakosa raha, dagaa wa Mwanza ni kiboko, mbonga moja naipenda sana hasa na ugali, hata wali, ukizikaanga vizuri na vitungu swaumu,tangawizi kidogo na kaliimao, pilipili kidogo unachanganyana kachumbari mambo yanakua matamu sana kwa ugali
 
Hao dagaa wa mafuta kuna bingwa huwa ananileteaga, wakiisha basi huwa nakosa raha, dagaa wa Mwanza ni kiboko, mbonga moja naipenda sana hasa na ugali, hata wali, ukizikaanga vizuri na vitungu swaumu,tangawizi kidogo na kaliimao, pilipili kidogo unachanganyana kachumbari mambo yanakua matamu sana kwa ugali
Mmmmmmmh
 
Hao dagaa wa mafuta kuna bingwa huwa ananileteaga, wakiisha basi huwa nakosa raha, dagaa wa Mwanza ni kiboko, mbonga moja naipenda sana hasa na ugali, hata wali, ukizikaanga vizuri na vitungu swaumu,tangawizi kidogo na kaliimao, pilipili kidogo unachanganyana kachumbari mambo yanakua matamu sana kwa ugali
Mhmmmm...wewe inaonekana unajua kupika aiseh..🤣🤣sasa ndo ukutane na mwanamke asiyejua kupika ndo kabsa utakuwa unalala kwa mama ntilie😅😅😅
 
NILIPOTOKA HAPAFAI MPAKA MGANGA KAROGWA
chilling om
IMG20200627233354.jpg


Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom