Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,388
- 176,279
Mi najua basi? Ni vitunguu na nyanya. Hapo nilikuwa nataka nitie vyote vilivyobaki humo (dagaa, bamia na mchicha) vitajuana vyenyewe ila mboga ilikuwa tamu kwa kiwango changu. We acha tu yaani![]()






Haki nimecheka, eti vitajuana!



