MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,450
- 69,316
Unadhania naeanda mbali, nazunguka eneo moja tu, sema nazunguka mara nyingi.Why not?
Nikichoka natembea nakusubiri urudi kutoka huku km5 ulikopotelea.
Unadhania naeanda mbali, nazunguka eneo moja tu, sema nazunguka mara nyingi.Why not?
Nikichoka natembea nakusubiri urudi kutoka huku km5 ulikopotelea.
Oooh!! Hapo sawa.Unadhania naeanda mbali, nazunguka eneo moja tu, sema nazunguka mara nyingi.

Akhsante sana mkuuPole Sana bingwaaa ila huyo nesi hapo hujachukua namba ya simu ukaenda kumla kimasikhara
Wengi wanatembea tu....Oooh!! Hapo sawa.
Kukimbia nakimbia sana tu sema sasa sina kampan, maana kukimbia mwenyewe napo kipaji![]()
Na raha ya kukimbia pawe na kilima.Wengi wanatembea tu....
Hakuna milima huku, sema tu magari ni mengi, kama umeweka earphones masikioni unaweza gongwa kabisaNa raha ya kukimbia pawe na kilima.
Safi kijana wangu ukiwa una mpiga na za supu kidogo mbona kimasikhara analiwa tu na vidonda anasafishia getoAkhsante sana mkuu
Hahaha....nilichukua namba yake.
Wacha nipone kwanza japo tayari nilishaonyesha mazingira nyemelezi kwake.
Ananisafisha kidonda kila siku









Na moshi wa magariHakuna milima huku, sema tu magari ni mengi, kama umeweka earphones masikioni unaweza gongwa kabisa

Utazionaje na haujaziweka?Selfie km sizioni hv kulikoni?
Hebu weka basi acha storyUtazionaje na haujaziweka?
Unanilisha?Hebu weka basi acha story
Weka selfie basi ,RafikiUnanilisha?
Aaaah moshi wa magari hakuna, ila watu wanatembea na vijibwa vyao.Na moshi wa magari![]()
Daaah!! Kwahiyo bongo nako siku hizi twatembea na vijibwaAaaah moshi wa magari hakuna, ila watu wanatembea na vijibwa vyao.




.Weka selfie basi ,Rafiki
Hahahaha, dah umeshinda,gud nite Rafiki
Kaka nimejikuta natamani kujua mahali unakoishiAaaah moshi wa magari hakuna, ila watu wanatembea na vijibwa vyao.



