MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,451
- 69,319
Daslamu kumepoa sana kipindi hiki....Huko tanuruni![]()
Daslamu kumepoa sana kipindi hiki....Huko tanuruni![]()
Mmmh!! Huo mji huwa umechachamaa muda wote, sijui ni vile sipendi jotoDaslamu kumepoa sana kipindi hiki....


Kuanzia mwezi wa sita huku kunakuwaga na hali nzuri sana.....Mmmh!! Huo mji huwa umechachamaa muda wote, sijui ni vile sipendi joto![]()
Lazima apiti hapa.. Ataiyona

Mmmh!! Sio nzuri sana sema nzuri kidooogo.Kuanzia mwezi wa sita huku kunakuwaga na hali nzuri sana.....
Ataiona tu, hiyo sifuti
Si ndiyo aiyone picha yenyewe sasa...

Nzuri sana, leo hadi nimefanya mazoezi nje kama 5kms hiviiMmmh!! Sio nzuri sana sema nzuri kidooogo.
Mmmh!!Nzuri sana, leo hadi nimefanya mazoezi nje kama 5kms hivii




Noma sanaaaaaa,..........💪💪💪💪💪Mmmh!!![]()
Pole Sana bingwaaa ila huyo nesi hapo hujachukua namba ya simu ukaenda kumla kimasikharaMungu ni mwemaView attachment 1484967
Siku nyingine nistue tupige tizi wote.Noma sanaaaaaa,..........![]()
Utaweza kukimbiaaaaaa wewe ????Siku nyingine nistue tupige tizi wote.
Why not?Utaweza kukimbiaaaaaa wewe ????



Kama Ni mwanamke wew bas ngoja niongee na brother mshana jr tulete posa najua nitapata maneno ya upako Sana toka kwako na unaonekana huo mlalo ulio lala hapo kitandani Ni balaaaaa




