Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

basi kaka usilie jamani

Mie nilisikia hivyo na niliobahatika kukutana nao ni wafupi kweli, sasa sijui kama na wa kule Same na walioko kwenye mikoa mingine nao wote ni wafupi au kuna na warefu.
we haya tu!

Ilà sio wafupi bwana, ni vile watu wamekuwa na perception hiyo ilà kuna giants wengi tu na shotii pia wapo wengi tu.
 
Kuna mdada mmoja nilisoma naye alikuwa hawezi kusema soksi anasema soski na boksi anasema boski.

Na siyo kwamba ni mdogo hapo tulikuwa a level sasa sijui kama alikuwa anashindwa kuyatamka au alikuwa anafanya makusudi.
Inawezekana kweli alikuwa hawezi kutamka,mimi mpaka leo kutamka neno crisps ni mtihani najikuta nimesema crips.
 
Back
Top Bottom