Ooh!!kumbe.Ya Makiseo hiyo.
Ooh!!kumbe.
Ila tayari nimeiiba ili niiweke/niipeleke/niifanyie kile nachokijua mimi.





Ukianza kuona mabadiriko yoyote yale kuanzia kesho usishangae maana itakuwa ni mimi


UnanisingiziaNdio mseme mlikuwa wapi?![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Unanisingizia
Ukianza kuona mabadiriko yoyote yale kuanzia kesho usishangae maana itakuwa ni mimi
Tulia Jael





Mimi sikuona

Hukuona nini?Mimi sikuona![]()
Kuota ndoto za kuokota hela mara kwa mara
Mabadiliko kama yapi?


MweeeeeehKuota ndoto za kuokota hela mara kwa mara
Maumivu ya mwili hasa upande wa kiunoni na shingoni yatakuwa anaambana na ngurumo na radi za mahaba hasa muda wa usiku
Tulia Jael







amu muache, hana shida na mtu!!Ooooh kumbe!!amu muache, hana shida na mtu!!
Kwema lakini mkuu JaelMweeeeeeh![]()
Pole Sana Dada. Utapona, unanikumbusha mbali Sana. Nilipokuwa shule nilikuwa na Ulcers tabu yake si mchezo na nilikuwa nabagua vyakula yaani ilifikia kipindi nikila ugali hata wali nasikilizia mziki na shuleni walikuwa wananiita mtoto wa mama kisa nabagua vyakula. Lakini leo hii nami natengeneza dawa ya vidonda vya tumbo inayotibu moja kwa moja na utathibitisha kwenye vipimo. Karibu Sana kwa msaada.Yaani kumbe nilikuwa naumwa ulcers bila mimi mwenyewe kujua..
Kuna muda nilikuwa nazidiwa..sasa nimefululiza wiki 2 tumbo linanikwangua hatari ndio dkt kwenda kunipima ulcers.
Dawa alizonipa Sasa ndio zina kasheshe..hapa tangu nimemeza juzi sijameza tena,zitaniua
Sijui nifanye Nini,nashindwa kabisa kula, yaani vijiko viwili nishashiba.
Kwema kabisa.Kwema lakini mkuu Jael
Bhasi vizuri kama ni kwema kabisa pande hizoKwema kabisa.