T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,928
- 30,075
Mmmh...kumbe ina mhusika hii picha Jael?Halafu ujue hii haikuhusu Ely!! Tufanye kama haujaona basi![]()

Mmmh...kumbe ina mhusika hii picha Jael?Halafu ujue hii haikuhusu Ely!! Tufanye kama haujaona basi![]()

Nimeweka kama hayo ila niko na bastola ukileta pua yako boer boel wakinistua navunja kiuno chako
Wezi sio watu wazuri kabisa...





Mimi huyo mbona nishaweka sana humu picha jamaniiiiiii
Nimekuonaaaa. Nasubiri picha
Unafutaga kabla sijaona.Mimi huyo mbona nishaweka sana humu picha jamaniiiiiii
Nina bahati sana, such is the beauty!Hiyo hapo.
View attachment 1484329

Babe ndio unaachiwa eeh?Nina bahati sana, such is the beauty!![]()
Pamoja na vyoteee, wezi sio watu wazuri. Utabaki unalaani tu.Hhhaahh sio kwangu mkuu. Hata alarm fensi ya umeme na mbwa kweli...
Na nilivyo na insomnia patakalika usiku huo
Lakini wewe mbona unanenepa na kukondaUnafutaga kabla sijaona.




juzi ulikuwa mdada fulani mwenye nyama za kutosha leo nyama zimepungua kwa nini lakiniUsikimbie mada, kuna vitu vyangu hapo...li's, kif""a ee haya jamani!Babe ndio unaachiwa eeh?
Lakini wewe mbona unanenepa na kukondajuzi ulikuwa mdada fulani mwenye nyama za kutosha leo nyana zimeoungua kwa nini lakini





Vyote vyako babe.Usikimbie mada, kuna vitu vyangu hapo...li's, kif""a ee haya jamani!
Hivi unajua kama nina wivu?
Hivi mbona mnaweka picha nakutoa mnafanya makusudi
Karantini imefanya yake, zikapukutika zote.
Kweli mambo ya nyungu hayoNina wivu zaidi yako, ila kuna vijeba kwa kuona huo ulimbwende tayari wapo chumbani wanaandaa dodoso.Hivi unajua kama nina wivu?