Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,831
Yu a gojazi [emoji1545][emoji1545]
Yu a gojazi [emoji1545][emoji1545]
Aki ya Nani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
We unafichwa huko hadi unatusahau huku!! Saint Anne njoo umpe picha dada.
Hii bill kama mmekula wanaume tu basi mmeniangusha sana...
Kama kuna wadada hapo sawa, ila bado ilitakiwa Igonge hata laki na nusu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] maana kwa hapo Jack Daniel ndiyo imebost bill, , ni kutumbua tu, mimi nipo tabata kazimoto hapa nasubiria mishikaki[emoji16][emoji16][emoji16] Wanaume washoka ni wawili tu hapo wadada wawili si wanywaji hata boss.
Upo wapi Boss...
Yes hapo sawa, sio mnatumia pesa halafu hakuna hata maua pembeni[emoji23][emoji23]
[emoji482] Gonga tossKuna mzigo nilitewa asubuhi kutoka mahali fulani hivi unanisubili...
Windhoek hiyo nishaifuta, nataka nihamie kwa jameson sasa...
View attachment 1484283
Hebu mpe picha mwenzio.Aki ya Nani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naona unaamua kuniumiza[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]Mrembo mwenye akili. Kuna siku niliona ukichangia uzi fulani wa wezi ukaandika ishu fulani kuhusu madirisha ya flat bar niliona una akili mingi mingi...
Jael Jael Jaaaaaaaaael............Hiyo hapo.
View attachment 1484329
Oooh!! Nimekumbuka.Ulichangia ukisema madirisha mengi ya sasa ni flat bar ni rahisi kwa wezi kuvunja na kuiba..
Halafu ujue hii haikuhusu Ely!! Tufanye kama haujaona basi[emoji1787][emoji1787]Jael Jael Jaaaaaaaaael............
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hivi umenioanaje jamani? Khaaaa