Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,369
- 176,203
Wewe!!! Nasubiria hapa..
Umesingizia usingizi halafu nakuona huku..
Sent using Jamii Forums mobile app







Wewe!!! Nasubiria hapa..
Umesingizia usingizi halafu nakuona huku..
Sent using Jamii Forums mobile app







Kuzisaka ndo mtihani sasa. Liuzi lenyewe lireeeefuuuuMimi zangu mbona zipo Mkuu..
Hiyo niliweka ya kuchangamsha Uzi tuu.
Sent using Jamii Forums mobile app






Sema muda kabisa nikae stendibai aisee

Mimi zangu zipo Mkuu..Kuzisaka ndo mtihani sasa. Liuzi lenyewe lireeeefuuuu
Kama huwekagi na kufuta mara moja basi poa sana. Nitazipata. Na nikizikosa nitarudi kukulalamikia![]()

Utastuka asubuhi saa3 na bastola yako ukute kweupeee!!
Hapo ndio utaamini dunia lukumba lukumba.








Nakiona




Nakazia watu waweke picha Kama mada inavyodai msifute jamani...sisi wazembe na sisi tuoneHivi mbona mnaweka picha nakutoa mnafanya makusudi
Na hicho kichwa kama boga 🤣😂😂😂Beautiful![]()
Weka na sura basi
Mbona kizuriNa hicho kichwa kama boga![]()
Mbona kizuri
Ongeza ingine nisafishe macho
Asante sana mkuuPole Sana Dada. Utapona, unanikumbusha mbali Sana. Nilipokuwa shule nilikuwa na Ulcers tabu yake si mchezo na nilikuwa nabagua vyakula yaani ilifikia kipindi nikila ugali hata wali nasikilizia mziki na shuleni walikuwa wananiita mtoto wa mama kisa nabagua vyakula. Lakini leo hii nami natengeneza dawa ya vidonda vya tumbo inayotibu moja kwa moja na utathibitisha kwenye vipimo. Karibu Sana kwa msaada.
Weka dadangu mzurihahaha

Hao dawa kuwauwa tu, tatizo tunawadekeza mno.Ninayoona huku vijans wa kiume tumeisha. Vijana wamekuwa shogaz...
Heri yako Dinazarde unaweka picha hata huitoi haraka, hata Priscallia nae hatoi, nyie noma sana, ila kuna wengine sasa dakika 5 nyingi kitu kimetolewa huyu jael hautendei uzi haki