Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mimi zangu mbona zipo Mkuu..
Hiyo niliweka ya kuchangamsha Uzi tuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuzisaka ndo mtihani sasa. Liuzi lenyewe lireeeefuuuu [emoji16][emoji16][emoji16]

Kama huwekagi na kufuta mara moja basi poa sana. Nitazipata. Na nikizikosa nitarudi kukulalamikia [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kuzisaka ndo mtihani sasa. Liuzi lenyewe lireeeefuuuu [emoji16][emoji16][emoji16]

Kama huwekagi na kufuta mara moja basi poa sana. Nitazipata. Na nikizikosa nitarudi kukulalamikia [emoji16][emoji16][emoji16]
Mimi zangu zipo Mkuu..
Jael ndiyo anatabia ya kufuta..[emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Adjustments.JPG
 
Pole Sana Dada. Utapona, unanikumbusha mbali Sana. Nilipokuwa shule nilikuwa na Ulcers tabu yake si mchezo na nilikuwa nabagua vyakula yaani ilifikia kipindi nikila ugali hata wali nasikilizia mziki na shuleni walikuwa wananiita mtoto wa mama kisa nabagua vyakula. Lakini leo hii nami natengeneza dawa ya vidonda vya tumbo inayotibu moja kwa moja na utathibitisha kwenye vipimo. Karibu Sana kwa msaada.
Asante sana mkuu
 
Back
Top Bottom