Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Duh Pole sana au Ulcers zinakufanya hivyo!??

Hvi bado unakula vyakula vyenye Acid!??naona ulcers bado zinakusumbua.

Jijenge kisaikolojia kwanza kuwa hauumwi halafu furahia maisha hii ni dawa ya kwanza kabisa
Yaani kumbe nilikuwa naumwa ulcers bila mimi mwenyewe kujua..
Kuna muda nilikuwa nazidiwa..sasa nimefululiza wiki 2 tumbo linanikwangua hatari ndio dkt kwenda kunipima ulcers.
Dawa alizonipa Sasa ndio zina kasheshe..hapa tangu nimemeza juzi sijameza tena,zitaniua
Sijui nifanye Nini,nashindwa kabisa kula, yaani vijiko viwili nishashiba.
 
IMG_20200530_125406_499.jpg
 
Yaani kumbe nilikuwa naumwa ulcers bila mimi mwenyewe kujua..
Kuna muda nilikuwa nazidiwa..sasa nimefululiza wiki 2 tumbo linanikwangua hatari ndio dkt kwenda kunipima ulcers.
Dawa alizonipa Sasa ndio zina kasheshe..hapa tangu nimemeza juzi sijameza tena,zitaniua
Sijui nifanye Nini,nashindwa kabisa kula, yaani vijiko viwili nishashiba.
Umepimaje Ulcers!??

Umetumia Endoscopy!??Au uliangalia tu H Pylori Test!??
 
Back
Top Bottom