Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahahah hata mie wakati najifunza nilisema sitalewa. Nikafuata taratibu zote. Nilianza na Whisky "Imperial Blue" ina 42% vol. alc! Nilianza saa 11 jioni na wana.

Nilibugia toti kwa kuzimix na Ginger Ale. Kilichotokea niliamka the next day saa 5 nikiwa nimetapika makongoro yangu kila upande wa chumba nikaamkia usafi. Sikujua hata ndani niliingiaje maana tulikuwa kwenye garden.

Pombe sio chai.
duuh ila we mwanangu ulizidi, mimi pombe yoyote ambayo najua itanifanya nitapike siwezi kuinywa maana maishani mwangu hakuna kitu sipendi kama kutapika.
 
Back
Top Bottom