Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,148
- 190,632
chupa 3 tu wala si nyingiSiwezi kulewa Mimi jamani..
Yaani nishasema siwezi
chupa 3 tu wala si nyingiSiwezi kulewa Mimi jamani..
Yaani nishasema siwezi
Nitajichosha bure kuprovechupa 3 tu wala si nyingi
Hahahaha, Mama mchungaji ,we utakua mlokole,msabato,muimba kwaya Fulani hv ,Hahahaha ( nabahatisha tu)Siwezi kulewa Mimi jamani..
Yaani nishasema siwezi
Bwana Asifiwe..Nitajichosha bure kuprove
Maana najua kulewa siwezi kabisa.
Hahahah hata mie wakati najifunza nilisema sitalewa. Nikafuata taratibu zote. Nilianza na Whisky "Imperial Blue" ina 42% vol. alc! Nilianza saa 11 jioni na wana.
Nilibugia toti kwa kuzimix na Ginger Ale. Kilichotokea niliamka the next day saa 5 nikiwa nimetapika makongoro yangu kila upande wa chumba nikaamkia usafi. Sikujua hata ndani niliingiaje maana tulikuwa kwenye garden.
Pombe sio chai.



duuh ila we mwanangu ulizidi, mimi pombe yoyote ambayo najua itanifanya nitapike siwezi kuinywa maana maishani mwangu hakuna kitu sipendi kama kutapika.Mimi Wala si msabato wala sisali makanisa ya kipentecoste na wala siimbi kwaya.Hahahaha, Mama mchungaji ,we utakua mlokole,msabato,muimba kwaya Fulani hv ,Hahahaha ( nabahatisha tu)
Sent using Jamii Forums mobile app
Amen
We mtumishi wa bwanaMimi Wala si msabato wala sisali makanisa ya kipentecoste na wala siimbi kwaya.
Nasali makanisa ya kiprotestant.

Milele Amina
Nitasubiri mrejesho kwenye ule uzi😀😀😀Tamu sana utaipenda. Ila ukizima naenda kukulaza kwangu!
Ndiyoau siyo
Tumaini letu
Anakuwa pambe sana, atacheka cheka balaa! 🤣🤣🤣 Hapo ndipo ntapomuinjoy na vimaswali vya kijinga🤣🤣🤣Nitasubiri mrejesho kwenye ule uzi😀😀😀
Halafu huyu anaonekana akilewa anapendeza sana😀😀
Mbona unairudia?