Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Siwezi kunywa tatizoHio sio ya bure.. Unakuwa umechapa kazi
Siwezi kunywa tatizoHio sio ya bure.. Unakuwa umechapa kazi
Nasubiri mrejesho.Waone Kama nitalewa.
Sionji ng'oo na kulewa siwezi.
Asipolewa nimrudishie pesa ya gharama za vinywaji ama akilewa nikampumizishe kwangu.Halafu?
Niko na mtumishi ujue,HahahahaNi kwa bwaaana..Kwa maana ana uwezo wa mileleee![]()
Tena utapendeza sana😀😀 kama nakuona vile ukiwa umelewa.Na Wewe unaamini kwamba naweza kulewa?
Huko ndio nilikua nakuja mbn una haraka hivi ,mtumishiMbona unairudia?
Nikajua utaenda kwenye Mwanakondoo ameshinda Salamu yangu pendwa.
Tatizo huwezi kuniona hivyo maana siwezi kunywa Wala siwez kulewaTena utapendeza sanakama nakuona vile ukiwa umelewa.
Siwezi kujaribuNasubiri mrejesho.
i had virgin livers! 🤣🤣🤣 sikuwahi kunywa before.duuh ila we mwanangu ulizidi, mimi pombe yoyote ambayo najua itanifanya nitapike siwezi kuinywa maana maishani mwangu hakuna kitu sipendi kama kutapika.
Hukapata tu wa kukushawishi. Ningekuwa karibu nawe ungekunywa.Tatizo huwezi kuniona hivyo maana siwezi kunywa Wala siwez kulewa
Alikunywa mbili tukasema aisee ukalale tutaongea kesho anasema vipi mbona mnanifukuza hii nyumba mlijenga nyie ilikua comedy hatariHio ni noma mkula uzuri hakunywa chupa zaidi ya moja. Angeleta comedy zaidi ya hapo!![]()
Kunishawishi huwezi labda niamue Mimi.Hukapata tu wa kukushawishi. Ningekuwa karibu nawe ungekunywa.
Alikunywa mbili tukasema aisee ukalale tutaongea kesho anasema vipi mbona mnanifukuza hii nyumba mlijenga nyie ilikua comedy hatari






🤣🤣🤣Alikunywa mbili tukasema aisee ukalale tutaongea kesho anasema vipi mbona mnanifukuza hii nyumba mlijenga nyie ilikua comedy hatari
i had virgin livers!sikuwahi kunywa before.



ooh kumbe ndiyo ulikuwa mgeni unatambulishwa kwenye mapenzi sorry ulevi