Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,148
- 190,634
Hahahah hata mie wakati najifunza nilisema sitalewa. Nikafuata taratibu zote. Nilianza na Whisky "Imperial Blue" ina 42% vol. alc! Nilianza saa 11 jioni na wana.Nafikiri ujiandae tu kumrudishia pesa maana mwenzetu keshasema ye halewi. Afe mmasai afe mmang'ati yeye halewi.
Nilibugia toti kwa kuzimix na Ginger Ale. Kilichotokea niliamka the next day saa 5 nikiwa nimetapika makongoro yangu kila upande wa chumba nikaamkia usafi. Sikujua hata ndani niliingiaje maana tulikuwa kwenye garden.
Pombe sio chai.

