Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Labda usinywe ndio usilewe ila otherwise ni lazma ulewe siku nunua chupa moja tu ya savana ujinywee chumbani mwenyewe ulete mrejesho
Tatizo siwezi kunywa.
Vitu vikali situmii..labda Kama ni tamu.
Lakini hata iwe tamu bado siwezi kunywa..hata nikinywa wallah siwezi kulewa.
 
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15] duh hiyo kauli yako imenitisha, kwamba we mwenzetu una nerves za aina gani eti mama angina.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani nianze tu kulewa ?Ah wapi!..huwa najiuliza sijui huwa inakuwaje
 
Mie naomna
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila Mimi nilishasema siwezi kulewa pombe..
Yaani na akili zangu timamu nilewe?? wallah siwezi.
Mie naomba nilipie Dompo tu chupa kubwa ile. Ukiimaliza ukawa uko sawa nakukabidhi pesa ambayo nitakuwa nimegharamia kuinunua.
 
Back
Top Bottom