Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,467
- 203,085
Unapenda kuchekakuna mtu kajilipua
![]()
Unapenda kuchekakuna mtu kajilipua
![]()
Bado kabisa kabisa![]()
Kifo cha mendeReady to bed... nalala mapema but the hustle ya kuamka asubuhi sijawahi izoea.
Mwenye dawa ya kupunguza usingizi please.View attachment 1461814
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu nimemwambia 200k iko nimeweka waz cash in hand usafir,chakula room achague yeye anakokuta nalipia mmKifo cha mende
Mnooo labda udhibiti mloooWee
Kumbe Hadi Mimi nikizaa nitanenepa![]()
Ninao watoto wa dada zangu na kaka zangu.
kuna mtu kajilipua
![]()
Kweli nakuambia tena
Kweli nakuambia nilikuaga chikonda lakini sasa hivi nafikaga mpk 76!yaani mpk najichukiaga yaaniHakika
Huyu dada amenitia moyo Sanaa![]()
SinaUna mchumba?
JamanimKweli nakuambia nilikuaga chikonda lakini sasa hivi nafikaga mpk 76!yaani mpk najichukiaga yaani


Hahaha, JF sweetheart bana mimi siamini ila ,nakuaminiKweli nakuambia tena
Mimi nitakula zaidi ili niongezeke zaidiMnooo labda udhibiti mlooo
Asante Sana
Sina
Unataka kuwa mchumba wangu?