Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wadada walikuwa wanawapenda wakaka wa advance...wakaka wa o'level walikuwa hawapendezi

Advance unakuta kaka kajipigilia modo yake,shati Safi na ile tai utasema waziri wa fedha.
Sisi Huku na visolo vyetu kutwa kufukuzana na mwabulambo.

Kuna kaka flani wa Advance muslam alikuwa anapenda Sana kufanya morning prayer Assemble..watu walikuwa wanamueleva vibaya.
Ila anko Amani alikuwa mnoko Sana gettini Hadi Kuna siku watu wakamsukuma..yaani tumechelewa ticha hayupo eti hataki tupite getini Hadi mwalimu aje...wakaka wa advance wakakusanyana wakamsukuma sisi hao mbio.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha hata kwenye daladala hatukai siti za wanafunzi tunakaa siti za wakubwa na tunalipa mia nne kujimwabafai , good damn old memories

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha hata kwenye daladala hatukai siti za wanafunzi tunakaa siti za wakubwa na tunalipa mia nne kujimwabafai , good damn old memories

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa wenzenu Olevel walikuwa wanavaa masweta muda wote.
Mimi mwenyewe huwa nikikaa nikikumbuka nafurahi.

Mofimu, hamna mwalimu ametutesa ile shule Kama mofimu aisee.

BTW Bukuku bado yupo,Kuna kipindi alipumzika ila alisharudi Tena Baba mchungaji yule.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom