Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kitambo 2012-2014 five na six, hostel kadege mihogo mchana ilolo enzi za bukuku

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe mkubwa kidogo kwangu..baadhi ya miaka uliyotaja nilikuwepo hapo Sangu.
Yaani Hakuna banda la chipsi nilikuwa silijui ilolo.. tulikua tunakula chipsi za 500-700..Tulikuwa tunaenda Hadi sinde, stereo

Kadeghe Kuna rafiki yangu MMoja alikuwa anakaa huko..Mara nyingine nilikuwa natembea naye Hadi huko Mimi napitiliza meta kupanda gari.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We we.... leo nilikosa usingiz nilikuwa hapa naperuz na kurefresh bahat nzuri ndio ukaposti nikawa naangalia kifuatacho itv...

Hukupost ila sawa kama umeamua kuwarusha roho.
Abeee kaka yangu mimi jamani...

Serious usiku nilijimwambafai huku mwenyewe, wapwa wakaja nikaweka mbili ila mwanzo niliweka 3 full kabisaa no emoj

komesha korona
 
Kumbe mkubwa kidogo kwangu..baadhi ya miaka uliyotaja nilikuwepo hapo Sangu.
Yaani Hakuna banda la chipsi nilikuwa silijui ilolo.. tulikua tunakula chipsi za 500-700..Tulikuwa tunaenda Hadi sinde.

Kadeghe Kuna rafiki yangu MMoja alikuwa anakaa huko..Mara nyingine nilikuwa natembea naye Hadi huko Mimi napitiliza meta kupanda gari.

Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana shule ya kinyamwezi sana ile jijini mbeya full kupendeza na tai zetu na modal enz hizo huku tukijiita wanachuo , kama ulikua o level basi mlikua ndio madem zetu maana tuliwekeza sana o level mlikua wazur sana kuliko dada zetu wa advance

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Safi sana shule ya kinyamwezi sana ile jijini mbeya full kupendeza na tai zetu na modal enz hizo huku tukijiita wanachuo , kama ulikua o level basi mlikua ndio madem zetu maana tuliwekeza sana o level mlikua wazur sana kuliko dada zetu wa advance

Sent using Jamii Forums mobile app
Wadada walikuwa wanawapenda wakaka wa advance...wakaka wa o'level walikuwa hawapendezi

Advance unakuta kaka kajipigilia modo yake,shati Safi na ile tai utasema waziri wa fedha..sasa tukaka twa Olevel unakuta tuchafu,tumepigia masweta muda wote.
Sisi Huku na visolo vyetu kutwa kufukuzana na mwabulambo.

Kuna kaka flani wa Advance muslam alikuwa anapenda Sana kufanya morning prayer Assemble..watu walikuwa wanamueleva vibaya.
Ila anko Amani alikuwa mnoko Sana gettini Hadi Kuna siku watu wakamsukuma..yaani tumechelewa ticha hayupo eti hataki tupite getini Hadi mwalimu aje...wakaka wa advance wakakusanyana wakamsukuma sisi hao mbio ndani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom