Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,366
- 176,196
Daah!! Nimesema in a positive way, nikimaanisha inavutia.
Daah!! Nimesema in a positive way, nikimaanisha inavutia.
Too handsome to handle, right?
Mimi sioni tatizo kujiachia humu maana hakuna baya nililowahi fanyaSababu ya privacy
Mdogo wangu naomba nione picha uliyofutaHata sikujua mkuu.
Samahani kukuchukulia Negative
Its okey.Hata sikujua mkuu.
Samahani kukuchukulia Negative
Hapana mkuuuLakini kuna mambo hutakuwa huru kuyasema sababu ya kujiachia
Kuna watu nafahamiana nao humuUpo huru sababu hamna anayekufahamu






Na picha zako ukiwa baharini na kwenye Treni bado nimezisave kichwani!!
Sent using Jamii Forums mobile app



mwee, afadhali ziishie huko huko kichwani mpendwa.Ila hiyo midomo si unatuchumisha dhambi tu wazee wa watu![]()



umeona eenh, yaani mtoto ana balaa huyu sijui ndiyo anataka tumkubali.Tutambemenda mtoto jamaniumeona eenh, yaani mtoto ana balaa huyu sijui ndiyo anataka tumkubali.


Siku hizi umejificha wapi we kiumbe