Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,485
Fanya Hivyo Mdogo wangu.
BTW mimi nina Low Cut kwa Sasa.. Tangu mwaka uanze.
Sent using Jamii Forums mobile app



mwee wengine tusipoweka way hatupendezi wallahi
Mimi siipendagi tu..
Naona kama wanaoweka way wanatabia fulani hivi tena za kufanana. Na sizipendi.
Sent using Jamii Forums mobile app



ndio nimeweka dada, ila sina tabia hizo unazodhani jamani.
Mimi ndiyo Kinyozi wangu ila naona wa kawaida tu..Kwanza staili zake ni hizo hizo.. Kinachomsaidia anajipa Promo sana
Kuna Mmoja huyo nimemuona Ista.. nataka this time niende.
Sent using Jamii Forums mobile app





kwani wewe haujaweka
Hivi kajibu hili swali?
Ngoja nami nikaweke way nione venye inakuwa.

mkuu kwani id yako ya zamani ni ipi ??
Utajifunza hivo hivo mkuuTehe, mtu kama hauna kipaji cha kuimba hata uende kwenye darasa la muziki bado utatoka kapa tu.
Eeh ! Kumbe ni KE nilidhani wewe ni ME. Samahani kwa kukuhisi tofouti.
Sent using Jamii Forums mobile app





bora na we umeuliza maana mi sijaelewa
Hebu subiri kwanza, hili koti mbona jipya ila mtu wa zamani?
Na haya manyimbo nyimbo sio yule dogo diaspora kweli?bora na we umeuliza maana mi sijaelewa
Nimetaja hapo juu mkuu wangumkuu kwani id yako ya zamani ni ipi ??
Nae alikuwa ana swaga za manyimbo nyimbo kama mimi ?Na haya manyimbo nyimbo sio yule dogo diaspora kweli?
Njoo salon yetu pale survey unyolewe bure na huduma ya massage nitakufanyia mimi mwenyewe bureeeeeeeebora na we umeuliza maana mi sijaelewa



hehe sawa mkuu
Sometimes una uandishi fulani wa kibabe hiviDaah mkuu kilichofanya uhisi hivyo ni nini ??
Sikushauri
Ndo nataka nikaweke.
Kwanini mkuu
Hivi introverts huwa wanakuwa comedians ?