Mwambawetu
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 25,443
- 34,468
Wewe ni mtoto wa kike lakini. Some issues hazitarajiwi toka kwako.Just a fashion..... mambo ya uhuni ni tabia binafsi, either una low curt plus way, hijjab, mawigi, unasuka kama una tabia za kihuni hizo ni zako tu.
Ila mimi ya machine hapana kwa sasa hivi thoe huko nyuma nishawahi kuweka. (Mama akanambia marufukusikurudia tena
Low curt esp. Panki ile ya kisabato ikiwa na way inapendeza...nawaonaga wadada wa cutting master
Nywele yangu ikiwa na curl weekend naweka ya kitana (nimezoea...ukiniona muhuni shauri yako
Dont care attitude inaweza kukugharimu
Try to abide to African traditional practices





