Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Nike ni ipo poa, Jordan haupendi pia.?Ahhhhh hii brand ya nike haijawahi kunichosha , akili ipo Sana kwa nike, kuliko adidas,puma,fila nk
Ile picha niligugo. Hiyo siku nilikula wali "ndondo".




Jordan 23 sio yes nayo naipenda , sema hii ili_trend sana kipindi kile jordan kabla ya kuacha basketball, kila mtu alitaka kuivaNike ni ipo poa, Jordan haupendi pia.?
Hakika nimeokota kitu hapa mzee wa sangomaUNATAKA KUISHI UMRI MREFU?
Makala iliyoandikwa katika jarida la "New England Medicine" imeelezea siri za umri mrefu.

Watafiti nchini Marekani wamebaini kwamba kutokula kwa masaa 16-18 au kufunga kula kila baada ya muda fulani katika wiki hurefusha maisha na kuzuia magonjwa.
Katika makala iliyoandikwa katika jarida la “New England Medicine”, imebainishwa kwamba kula ndani ya masaa 6-8 katika siku na masaa yaliyobaki 16-18 kukaa mbali na chakula hukinga mwili kutokana na magonjwa tofauti, ikiwa ni pamoja na kupunguza shinikizo la damu na kurefusha maisha.
Katika makala hiyo imesisitizwa kwamba kufunga kula ni moja ya njia zinazowezapendekezwa katika tiba ya kiribatumbo, kisukari na magonjwa ya moyo, katika hilo inapendekezwa kufunga siku 2 kwa wiki au “kula kiasi kidogo kila siku”
Utafiti uliofanywa kwa kutumia binadamu na wanyama umeonyesha kwamba kufunga kila baada ya muda maalumu huweza michakato katika mwili “metabolism” kuhuishwa upya kitu ambacho hufanya afya ya chembe hai za mwili "cell" kuboreka.
Jr![]()
Mwanaume na mambo ya nyoronyoro wapi na wapi, hizo auto ni za kwenu wakina mama, ulishaona wapi malori wanaendesha wanawake
Mambo ya usawa 50%=50%Kwahiyo na sisi wanawake tunaopenda kuendesha manual kuliko auto ni wanaume siyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo ya usawa 50%=50%
Siku hizi kazi zinazofanywa na wanaume hata wanawake wanafanya ndiyo hoja yangu kuu, hali ya uchumi imeforc 50%=50% ni vile hukunielewa tu, kuna malori wanawake wanatandika gia transit ndani na nje ya nchi wanapeleka mizigo,Hahahaha wanaume hapo ndipo mnaponiacha hoi sasa hapo mambo ya usawa yanaingiaje,, mimi kama mwanamke katika uzoefu wangu wa kuendesha magari nimejikuta napenda zaidi manual kuliko auto sasa hayo ya usawa yanaingiaje hapo hebu nielezee vizuri..
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukipost picha Kama Ni ya kugoogle inajulikana tu mbona,iliyopigwa inajulikna piaIle picha niligugo. Hiyo siku nilikula wali "ndondo".![]()
Siku hizi kazi zinazofanywa na wanaume hata wanawake wanafanya ndiyo hoja yangu kuu, hali ya uchumi imeforc 50%=50% ni vile hukunielewa tu, kuna malori wanawake wanatandika gia transit ndani na nje ya nchi wanapeleka mizigo,
Chengine =Kingine
Basi Karma wewe ni tomboy, hebu niambie unapendelea mavazi ganiOohh yeah sikukuelewa,, nikajua na wewe ni moja ya wale wanaume ambao wao kila kitu wanawaza usawa tu yaani 50/50..
Sijui kwanini ila eti mie mambo magumu magumu ndiyo huwa napenda kuyajua,, na huwa najivunia kabisa kuyajua..
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya