Arien
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 11,245
- 11,777
Pampula bia zangu ziko wapi?
Nipe maelekezo nikuje fasta.Njoo himo hapa zipo zimejaa utazikimbia wewe tu... mtu hanyimwi pombe ananyimwa pesa
Sent using Jamii Forums mobile app



unataka niendelee?? Ngoja huu mwaka uishe mwakani naendeleza mbalansisho!!
..we jua tu ntakuchapa, halafu siku hizi umeacha kubalance mambo ya me na ke??![]()
Sie wengine tuna miguu ya ukoo. Hivi namba 8 si ndio namba 41?
😂 😂 😂
Usiendelee, achana na mambo hayo. Life's so beautiful, ukianza hayo unajiletea nyongo tu!!unataka niendelee?? Ngoja huu mwaka uishe mwakani naendeleza mbalansisho!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Khaaah!! We mkaka hebu niwache.Sasa umeanza kuniita majina yangu![]()
Niambie tu Idodomya unaenda kwa nani! Nimekasirika...Khaaah!! We mkaka hebu niwache.
Usiendelee, achana na mambo hayo. Life's so beautiful, ukianza hayo unajiletea nyongo tu!!
Hapana tbt papo pa kishua piaMbona mnatusema na TBT yetu jamani, yaani nimeishi sana TBT, yapo maeneo mazuri na mabaya. Kifupi Dar yote ndio ilivyo, maeneo mengi bi hovyo tu, tena hovyo tu.




ila Dar hovyo Tu mpk Mbezi beach kuna mafuriko![]()
![]()
![]()
I'm very sure umerudi kwa kasi ya 6G ukalipiza kabisa na kile kipindi upo kwenye wokovu hewa.!!
Ooh' Lord have mercy..!