ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 54,503
- 126,839
Kwa uzee upi bwana acha kuchanganya watu, hivi mtoto umezaliwa late 80's au early 90's unasimama kujiita mzee kweli. Unautia uzee nuksi[emoji23][emoji23][emoji23]Khaaah!! Tunakukera kwa lipi labda? Kuambiwa wewe mdogo wakati kweli ni mdogo umakereka nini?
Mie nikiambia mzee walaa sikereki maana ni kweli, sasa sijui kwanini wewe unateseka[emoji134][emoji134][emoji1745][emoji1745]