ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,428
- 118,975
Kwa uzee upi bwana acha kuchanganya watu, hivi mtoto umezaliwa late 80's au early 90's unasimama kujiita mzee kweli. Unautia uzee nuksiKhaaah!! Tunakukera kwa lipi labda? Kuambiwa wewe mdogo wakati kweli ni mdogo umakereka nini?
Mie nikiambia mzee walaa sikereki maana ni kweli, sasa sijui kwanini wewe unateseka![]()







