Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,242
- 90,420
HahahahaInshort Dar sehemu nyingi hovyooo kasoro masaki na Obey maana nilipita tegeta sehemu moja hivi kaahh!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
MTC | 101|

HahahahaInshort Dar sehemu nyingi hovyooo kasoro masaki na Obey maana nilipita tegeta sehemu moja hivi kaahh!!!
Sent using Jamii Forums mobile app

Sijambo mama...😑😑
Sijambo mama...😑😑
Shikamoo

Khaaah!! Tunakukera kwa lipi labda? Kuambiwa wewe mdogo wakati kweli ni mdogo umakereka nini?Mnakera bana.l




Mzee wa miaka 30?Khaaah!! Tunakukera kwa lipi labda? Kuambiwa wewe mdogo wakati kweli ni mdogo umakereka nini?
Mie nikiambia mzee walaa sikereki maana ni kweli, sasa sijui kwanini wewe unateseka![]()
Hivi vyeusi namba ngapi?
30 mnajiita wazee.. mkifika 50 sijui itakuaje.Unaona sasa![]()
Hahahaha

Nakadiria, nikiwa na umri wako sikuwa namiliki simu. Nadhani hilo ni moja kati ya vitu ulivyonizidi mkuu.Mbali na umri na vihela vyako vya mawazo ambavyo muda sio mrrfu nitakua nazo namm tena yawezekana nyingi kukushinda.
Niambie kipi kingine unachonishinda.
Ukitoa umri wako nina uhakika hunikuti hata nusu ya nilipo
Mbona mnatusema na TBT yetu jamani, yaani nimeishi sana TBTInshort Dar sehemu nyingi hovyooo kasoro masaki na Obey maana nilipita tegeta sehemu moja hivi kaahh!!!
Sent using Jamii Forums mobile app



, yapo maeneo mazuri na mabaya. Kifupi Dar yote ndio ilivyo, maeneo mengi bi hovyo tu, tena hovyo tu.Sio kumiliki simu tu. Nimekushinda mengiNakadiria, nikiwa na umri wako sikuwa namiliki simu. Nadhani hilo ni moja kati ya vitu ulivyonizidi mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app