BENNICK
JF-Expert Member
- May 2, 2013
- 634
- 866
Shemela wangu huyu siwezi muita mahali hapa mkewe atachukia
Happy boxing day to y'all,as for me I haven't unboxed anything yet. Been watching movies tu.View attachment 1304305
Sent using Jamii Forums mobile app
Tabata Bayma...ndio Tabata Bimakuna rafiki angu mmoja anaishi huko, Tabata shule uwahilin kama Mwananyamala
Kuita ngoma old school au sio ni kutokana na mtazamo wa mtu..Mkuu, nadhani ungeanzia 2008 kurudi nyuma angalau kidogo ungeitendea haki Bongo Fleva..
Kuanzia 2009/2010 hapo ndio zikaanza hizi vurugu za beat makers na wasanii wao kuvuruga ladha ya kamziki ketu..
Ngoma ya 2014 uipe hadhi ya Old Skool? Cu'moon.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee unapika ubwabwa sebuleni au ni heater ile?
socket la kitchen limezingua liko loose, nikaona isiwe kesiHahaha...poa kaka

hamna siibi nakuletea picha yangu full kabisa halafu wewe utazoom kwenye kucha,, tuma sasa huku natafuta..
Wewe tu, ila usiibe kucha za watu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Tabata ya hii ya mto msimbazi pooohh!!!vingunguti plusTabata Bayma...ndio Tabata Bimakuna rafiki angu mmoja anaishi huko, Tabata shule uwahilin kama Mwananyamala






hivi shida Ni nini eti...!!!!
Nikikuonesha za kwangu mbona utasema alhamdulillah,, hizo zako ndefu kabisa mama..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahah hii comment yako imenichekesha eti Ka Vitz kanazama kazima kazima 😂😂😂😂😂🙌Barabara ilikuwa ina mashimo makubwa kuliko Ziwa Victoria, ukiwa na ki ViTZ kinazama kizima kizima kukipata labda mtafute meli ije kukiengua kutoka chini huko!
Nipe tu location nakuja mama
Pakeni asali




