Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahah...

Watu wamelizwa sana Tabata, walikuwa wananunua viwanja wakati wa kiangazi, enzi hizo ukiwa na kiwanja Tabata ilikuwa deal...

Sasa ulipokuwa ukiwadia msimu wa masika unapata mtu kauziwa mahali maji yanapita au ndio yanapokwamia...
Tabata Bayma...ndio Tabata Bima kuna rafiki angu mmoja anaishi huko, Tabata shule uwahilin kama Mwananyamala
 
Mkuu, nadhani ungeanzia 2008 kurudi nyuma angalau kidogo ungeitendea haki Bongo Fleva..

Kuanzia 2009/2010 hapo ndio zikaanza hizi vurugu za beat makers na wasanii wao kuvuruga ladha ya kamziki ketu..

Ngoma ya 2014 uipe hadhi ya Old Skool? Cu'moon.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuita ngoma old school au sio ni kutokana na mtazamo wa mtu..
Mimi naita ngoma za 2014 ni old kwakua ndio nilikua naanza form one so zanikumbusha mbali..
 
Mida ya EPL hii (leicester vs Liverpool)

Ynwa
IMG_20191226_222811.jpeg
 
Back
Top Bottom