Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,380
- 56,078




wakubali matokeo yaani kama unaenda liwiti Ni uswazi balaaa!!!ukivuka lile daraja kaaah!!
Hiyo tabata ya mto msimbazi ibakie kuitwa vingunguti tuu sio tabata. Hahaa kuichanganya na tabata ni kuikosea heshima tabata.
Huo mji ni mbaya dah. Uswahilini saaaana.
Sijui kwanini wanawake wa kipande hicho wanakuwa wamebabula flan hivi sijui na mkorogo(creams) na huvaa magaun ya moja kwa moja madera.
Sent using Jamii Forums mobile app
Cha 4 tu kilinitosha mkuu..
Ahsante kwa hilo
Mbali na umri na vihela vyako vya mawazo ambavyo muda sio mrrfu nitakua nazo namm tena yawezekana nyingi kukushinda.
Haina noma boss. Naomba utuambie mambo aliyoyafanya mozart. Watu wasiwe wana consider umri tuWatu tumeshtuka tu kuwa kumbe bado una muda mrefu wa kuishi mkuu 😆 wakati wengine tushaanza kukongoroka. Wala usiwaze boss.
And yes nampata Mozart
Shikamoo tu nitakua nakupatia wala ata usijali
Ni tabata lakiniwakubali matokeo yaani kama unaenda liwiti Ni uswazi balaaa!!!ukivuka lile daraja kaaah!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Dogo mbona povuMbali na umri na vihela vyako vya mawazo ambavyo muda sio mrrfu nitakua nazo namm tena yawezekana nyingi kukushinda.
Niambie kipi kingine unachonishinda.
Ukitoa umri wako nina uhakika hunikuti hata nusu ya nilipo




😂😂😂😂 Mnakera bana.lDogo mbona povu![]()
Hahaah..
Dalali tuu ukitaka chumba kiwanja au lodge nzuri nakudalalia
Sent using Jamii Forums mobile app



kwa kifupi wilaya za Ilala na Temeke sehemu nyingi ni uswazi,, maana Tabata haina tofauti sana na Mbagala tu maisha yao..
Ni tabata lakiniwakubali matokeo yaani kama unaenda liwiti Ni uswazi balaaa!!!ukivuka lile daraja kaaah!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Na tabata nyingine ya matumbi huku ww njia ya reli kama unaenda ubungo mweeeh!!



kwa kifupi wilaya za Ilala na Temeke sehemu nyingi ni uswazi,, maana Tabata haina tofauti sana na Mbagala tu maisha yao..
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe si ndio ulikua unalia eti wanakuona mtoto😁😁😁😁😂😂😂😂



Inshort Dar sehemu nyingi hovyooo kasoro masaki na Obey maana nilipita tegeta sehemu moja hivi kaahh!!!
Sent using Jamii Forums mobile app



si ndiyo hata mimi nawashangaa,, wananikosea adabu kabisa mama yao mie..
Wewe si ndio ulikua unalia eti wanakuona mtoto![]()