Watasema wanaumwaWaliopo hospitalini watasemaje?
babkubwa sana mzee baba. kula maisha, halafu hili chimbo kama nalijua vilee. sio kigamboni hii?Merry Christmas to all of you fellas...nawakubali sana wazee wa selfie
Mimi nimeamua kujificha mahali View attachment 1303070View attachment 1303071









😭😭😭😭😭
Huh!!!!!!!!!!!!!!Nipo kazini
Sent from my iPhone using JamiiForums
Huh!!!!!!!!!!!!!!
Huh!!!!!!!!!!!!!!
Mpaka mda huu bila bila wallah ngoja nibandike mboga ya taifa(maharage)



oohh nipe tarakimu
![]()
![]()
![]()
Nikajua utanipa maneno ya faraja na ki mpesa juu, ndo kwaaanza kamtu kanasema afadhali..!!
Same to you lil sis.!![]()


Roho inauma siku kama ya leo nile harage mkuu![]()

mbona najitahidi kupendeka mimi jamani
Ukiwa mkubwa uwe kama Watu8 upendeke![]()
Sijawahi enda huki, isipokuwa huwa naona watu wanaenda kwa kati ya 2000$ hadi 3000$ hapo...
Hiyo ni gharama yote kwenda, kutembea na kurudi

nikualike mara ngapi kaka??
Umealika uliodhani watakuja ukatuacha sisi uliodhani hatutokuja...
babkubwa sana mzee baba. kula maisha, halafu hili chimbo kama nalijua vilee. sio kigamboni hii?![]()
Hongera sana.