Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

.
Luda had me feeling cute. Thought I could take on anybody. Lol...we live to battle another day.

View attachment 1296313

View attachment 1296316

View attachment 1296317

View attachment 1296318
1576675200377.jpeg


Jr
 
Nilikuwa na msimamo kama wa joanah ila naona shetani ananizidi nguvu!

Seriously kuna wakati natamani kuonana na watu kwa ajili ya kupeana mawazo ya maendeleo, najua humu hatulingani, humu kuna watu wenye connection mob! Ila wasi wasi wangu ni je, hawa watu tutaendana kitabia?!
We njoo nimewasaidia wengi sana.
Age yangu hii sasa ni kutoa ushauri

Maana jogoo hawiki
Akiwika not on time

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwenyezi Mungu anijaalie msimamo wangu uwe huu huu siku zote,miaka yote hadi nitakapoacha kutumia hii JF

Tatizo la humu unaweza kukutana na lets say ID ya Sakayo Watu8 Karma Depal Hawachi labda na Khantwe

Sasa unakuja kushangaa anayekuja kukuexpose jukwaani ni ID mpya kabisaaaa tofauti na hizo sita ulizowahi kumeet nazo....hapo ndio unapata kizunguzungu unaanza kubet sijui nani kati ya hao atakuwa kanianika?!!

Sasa why upate shida zote hizo?
Be real usiogope kuwa exposed, hayo ndio wewe whether yanampenndezesha A au B
Afterall tumeumbwa kuwa na mahusiano. A human being akitengwa atakufa muda mfupi

Tatizo la Jf ni ku fake maisha thats why mtu anaogopa kuonesha reality, but i tell you, connection ziko na wao sio lazima ziwe direct

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom