Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058







khaa
Karibu Christmas.... bora ubaki unahangaika na vyakula kuliko unisumbue mimi
Lol that's the word out here.
FinallyMkuu wapi naweza kupata perfume za smart collection Dar es salaam?
Sent using my 6x6 bed.
Kwa sasa viwanja vya Dar ukiniuliza nitakupa habari za zamani sana, kwa sababu sijakanyaga kitambo.Mkuu wapi naweza kupata perfume za smart collection Dar es salaam?
Sent using my 6x6 bed.





Unajua mie mkweo eeh?Kautumia vizuri msimu wa kibaridi uloisha
Finally 🤣🤣🤣,malizia basi kwa mzee nani...,mimi nipo mkwajuni.Finally
Usinisahau mimi jamani, niko mdote hapa kwa mzee M.....

swadaktaaa,, hizo ndio maneno sasa..
Anyway, we utakuwa katibu wa kikundi.
Khaaaah!! Mna nini nami, hebu msinichule huko



Sawa MkuuKwa sasa viwanja vya Dar ukiniuliza nitakupa habari za zamani sana, kwa sababu sijakanyaga kitambo.
Mara ya mwisho nilikuja likizo, nikaenda Mlimani City, nikakuta chache mno halafu haziendi na wakati.
Labda tusubiri ma Al-Watan walio Dar watujulishe nasikia kuna viwanja vipya huko nikija mimi mwenyewe mwenye mji na viunga vyake naonekana mgeni.
Finally,malizia basi kwa mzee nani...,mimi nipo mkwajuni.
Kuna perfume nilinunua smart collection no 321 sasa inakaribia kuisha,kila nikitafuta siipati,nisaidie basi kuitafuta ukifanikiwa nakununulia na wewe.










Hapa kwa mzee naniii bana M.....a.
Hiyo kazi naianza kesho, shida nikiipata si mpaka tuonane?!![]()
Hata kama ni kuagiza mjini?!(Dar)