Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hivi kwani huko off JF huwa wanaume hawawatokei?

Kwa nini ikiwa ni wa JF inakuwa tofauti? I guess it aint something of a big deal as long as anayekutokea sio roboti ni mtu...na huwa hakuna mipaka ya namna mtu anavutiwa na mtu mwingine

Just saying...

Kuna siku nilipigwa ban, then nikapewa id ya kike na dogo mmoja niingie nayo jf. Niloyakuta pm nilicheka nikabaki "hiiiiiiiiii"
CC Karma
 
Hivi kwani huko off JF huwa wanaume hawawatokei?

Kwa nini ikiwa ni wa JF inakuwa tofauti? I guess it aint something of a big deal as long as anayekutokea sio roboti ni mtu...na huwa hakuna mipaka ya namna mtu anavutiwa na mtu mwingine

Just saying...
CC Karma
Teh teh teeeeeeeh!!
Mkwe hebu tuwache kwanza, usijifanye hujui
 
Back
Top Bottom