Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,375
- 176,218






Ndio blaza, hiWalaaa, eti kumbe wewe ni Atoto ??
![]()

Ile sitaki, nasikia inaharibu ubongo. Unakuwa nunda

Kumbe wewe ni SHE eeh ???








hivi hilo neno nunda ndiyo tuseme ushanibatiza nalo au??
Nimesoma nikasema huyu nunda kawa jamaa sasa![]()
Na nakufinya kweli, ulijuaje?














Muhimu ni kwamba kimelika tu.Nimekiangalia mara tatu sikukukielewa kabisaa jamani!!



wamama wa kiafrika
Mimi nakuelewa vizuri sana jamani, unaweza fanya jambo ukaona umemfurahisha mzazi, akakuita vizuri mbele za watu unaenda huna hili wala lile weeeee hicho kifinyo sio cha kawaida!!
Yaaani wewe ndo mekuwazia mamangu kabisaa!