sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Inawezekana mkuu huyu jamaa alikuwa yeye ndio anafanya kaz za kuwaandikia walim ubaon..mara kujaza form zao ma manz walikuwa wanampenda saqn.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahah...yaani mwandiko tu ndio upate mchuchu? au jamaa alikuwa na mbwembwe za ziada kuchora makopa yenye kuchomwa na mikuki/mishale...
By the way hata huwa sina mwandiko mmoja...
Sent using Jamii Forums mobile app





