Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,487
It went in a minute hahaahahahahHahahahahaha
Nini mbaya tena jamani kaka!
Nasikia Dar hali ya hewa imechafuka poleni wakazi wa dar,mvuq baadala inyeshe shamba inanyesha mjini
Mafuriko yanakuja kubeba wewe na gari
This is ArushaMafuriko yanakuja kubeba wewe na gari
Ndiyo zangu hadi kidimpo chako nilikizoom.Dah! Unazoom asee... Nimeview hata sikumuona ila baada ya comment yako hii imebidi nirudi kuangalia vizuri.
Jana duka jirani nimeomba chenchi narudi hela siioni
Leo siku ya pili nikichukua hela zake baada ya muda sizioni ninapoziweka huyu mama nahisi ana chumaulete nifanyie mchakato wa dawa
Cc Smart911
Sent using Jamii Forums mobile app

Nauza na maji spesho na ya mtumba hapo kabiashara ndo Kameanza badae ntanunua jiko kubwa
Cc Smart911 View attachment 1294894
Sent using Jamii Forums mobile app