Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,547
- 88,538
It went in a minute hahaahahahahHahahahahaha
Nini mbaya tena jamani kaka!
Nasikia Dar hali ya hewa imechafuka poleni wakazi wa dar,mvuq baadala inyeshe shamba inanyesha mjini
Mafuriko yanakuja kubeba wewe na gari
This is ArushaMafuriko yanakuja kubeba wewe na gari
Naomba dawa ya kuvuta wateja asee [emoji2][emoji2][emoji2]
Cc Smart911
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo zangu hadi kidimpo chako nilikizoom.Dah! Unazoom asee... Nimeview hata sikumuona ila baada ya comment yako hii imebidi nirudi kuangalia vizuri.
Jana duka jirani nimeomba chenchi narudi hela siioni[emoji24][emoji24]
Leo siku ya pili nikichukua hela zake baada ya muda sizioni ninapoziweka huyu mama nahisi ana chumaulete nifanyie mchakato wa dawa [emoji23][emoji23]
Cc Smart911
Sent using Jamii Forums mobile app
Nauza na maji spesho na ya mtumba hapo kabiashara ndo Kameanza badae ntanunua jiko kubwa [emoji2][emoji2]
Cc Smart911 View attachment 1294894
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kumbukumbu [emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1294979
Sent using Jamii Forums mobile app
Cc Smart911