Dah, four wa muda wote huo ni utata maana ni wengi mno...anyway lemme list em down bila kujali namba...
1. Maradona (nimemuona mwishoni mwishoni)
2. Pele (sijamuona kabisa isipokuwa kwa highlights)
3. Ronaldo de Lima
4. Messi
Wa sasa, ila napo kuna wengi zaidi ya wanne
1. Messi
2. CR7
3. Marcelo (left back ya Madrid)
4. Iniesta
Hahahahaaha
Sasa huo ndo mwendo wa polisi
OhoooMmama wa early 2000's
Khaa kumbe ndiyo hiyo picha uliyokuwa unaambiwa unatembea kama polisi?? Sasa hapo upolisi uko wapi eti au ndiyo haya makengeza yangu yananisumbua??
Sent using Jamii Forums mobile app
Lol kwenu tu. Hatulei huo upuuzi kwetu.
Hahahahahaha
Ndio ulikuwaga bado upo Facebook huku ulikuwa hukujui.
Unajua nini kaka, European soccer yote ipo kwenye wakati mgumu sio Barca pekee...
Siku hizi hakuna wachezaji vipaji mkuu...
Tazama timu kubwa zinavyo struggle sasa, na mfumo wa academy ni kama miaka ya karibuni umekuwa hauna manufaa
Ulikuwa haujazaliwa.Are you serious?! 94?!
Mmmhhh, sijui nilikuwa na miaka ngapi!
Sisi ni unique ndiyo maana,, wakati mwingine si lazima kufanya vitu kama wengine..
Sent using Jamii Forums mobile app
Dogo leo unaikana fesibuukuu kweli😂😂😂 wakati ww ndio ulikuwa mkali wao kwenye kupost picha zile umejibinua.🙌😂😂Nitake radhi mkuu JF nimeijua kitambo sana,, halafu mie situmiagi mitandao ya kishamba kama FB..
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu unajionaga kakubwa, shika adabu yako!!
Nilikuwa hata sijaanza jamanii!!
Hata hao umetaja nawakubali, isipokuwa hivyo vitoto viwili vya mwisho...Mimi top four yangu ya wa zamani ni:
1. Pele
2. Zinedine Zidane
3. Diego Maradona
4. Eusebio
Na top four yangu ya wa sasa ni:
1. Lionel Messi
2. Cristiano Ronaldo
3. Neymar Jr
4. Kylian Mbappe
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulikuwa haujazaliwa.
Hiki kibabu kumbe
Hilo la moyoni jamaniiNitake radhi mkuu JF nimeijua kitambo sana,, halafu mie situmiagi mitandao ya kishamba kama FB..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah sijaona, naona tu wanakusifia watuHahahahahaha
Pole sana jamani
Hope hata yangu hukuionaa
MmmhhhHalafu unajionaga kakubwa, shika adabu yako!!
Aimen aimennnHahah sijaona, naona tu wanakusifia watu
Anyway hata hivyo mimi si nipo nawe muda wote, takuona baadaye kwa video call...