Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
We haya tuu jamani
We haya tuu jamani
pipi
Hahah halafu unarudi na chenji pungufu, vile umesahau kukaunti all the way vile mama ameelekeza wewe
it was a 50/50 game...jamaa walikosa a number of clear chances...Mkosi wa Barca kupoteza points ulituandama. Tulipoteza nafasi nyingi sana, sema Madrid kukata tamaa hatujui.
Hahah...Hahaha,uchaguzi wa kwanza vyama vingi nilikuwa duniani tayari.
Mimi au wewe!!Hahaha,au ukute ametumwa unga,ananunua /pipi
Sent using my 6x6 bed.
NdiwoooHukawii
Sent using my 6x6 bed.
Hahahaha
Na mwaka mmoja!
Unatia huruma sana jamani
Hahahaha naomba tuheshimiane mkuu,, niite Blaugranian tu inatosha..
Sent using Jamii Forums mobile app
Miaka minne!Uchaguzi unafanyika nilikuwa naweza nikaenda dukani mwenyewe na kurudi bila kusahau change au kuvuruga maagizo.
Sent using my 6x6 bed.
Hahah...
Kwa hiyo pilika za Lyatonga ulizishuhudia?
Lemme guess, kwa zile ligi kubwa
Ajax - Netherlands
Munchen - Germany
Juventus - Italy
PSG - France
Sina uhenga wowote
Nilikuwa mkubwaa
Sema enzi hizo shule huendi mpaka umeweza kushika sikio..
Ingekuwa kipindi hiki ningekuwaga la tatu
Hahah okayNilizishuhudia ila akili zilikuwa bado za kuvhezea kombolela tu.
Sent using my 6x6 bed.





jamani
Mimi au wewe!!
Mamangu kabisaa?! Utalala na hiyo pipi nakuambia!
Mimi au wewe!!
Mamangu kabisaa?! Utalala na hiyo pipi nakuambia!
Ndiwooo
it was a 50/50 game...jamaa walikosa a number of clear chances...
msimu huu Barca dhaifu, Real dhaifu lakini ligi tamu maana hii ni kama enzi ya Guardiola vs Mou