Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Aise basi mimi na wewe tunaongea lugha moja,, Spain niko Barca na England nipo Man U pia yaani mimi kila nchi ya ulaya nina timu moja ninayoshabikia.. zile kubwa kubwa lakini

Haha ile niliyopiga t shirt tu ilikuwa ni ya Barca hukuona kitu cha Rakuten kabisa pale?? Ile niliyopiga full ilikuwa ni ya Taifa Stars ile siku wameifunga Guinea!! Duh ila we mhenga
Hahah was that Barca's or Chelsea's? nakumbuka kuna siku ulikuwa in full kit

Man U Karma, zote nilianza nazo 1994, kipindi ya TV broadcasting evolution in bongo, hapo mpira tunatazama kupitia KBC ya KE au TVZ ya Zenji kwa antenna yenye booster au kwa wenye nazo walikuwa na zile dish nyeusi za wavu hapo unapata TV za Angola na nyingine nimezisahau...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom