Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Abeeee
na kweli ukikumbuka kuwa kuna wachache wasio na hatia unajikuta unawatetea wote tu
Sent using Jamii Forums mobile app








Mkuu kadi za mwaliko vpMimi sitakagi upuuzi tubishane kwa hoja sio matusi dhihaka na kejeli.. Usinichukie kisa mtazamo... Mimi sikuachi salama lazima nikubanike
Jr![]()
Mkuu tarehe zinasogea mwaliko vpNdo inavyokuwaga my dear!!
Wengine huishia kuwowana kabisaa....
Cc@mahandow
Kwa hiyo unatufukuza auu
Usiku mwema nawe hujatoka out.Usiku mwema jamani, mimi ndo nalala kesho asubuhi na mapema Mungu akijaalia ni misa ya kwanza....
Asante sana jamani...
Usiku mwema jamani, mimi ndo nalala kesho asubuhi na mapema Mungu akijaalia ni misa ya kwanza....
Tupe ramani, najitolea mafuta kama kuna mtu ako anajitolea private car