Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

hivi leo umepuliza cha wapi eti?? Sasa si bora hata uitwe ng'ombe mama,, watu tumetukanwa matusi ya haja kama matusi yangekuwa yanatoboa wengine saa hii miili yetu ingekuwa kama machujio..

Sent using Jamii Forums mobile app

Sijavuta hata Mirinda nyeusi mimi, Meona tuu ndoa inavyokandiwa, wanawake wanavyokejeliwa nikachokaa!
 
Kuna mahali inafika uvumilivu unaisha.. Utu unakutoka... Maana inakera sana... Siku hizi sibishani na mtu.. Nambanika kimya kimya halafu namwendea PM namwambia wazi hiyo kazi ni mimi
Neno hilo mkuu, sema ndugu yangu wewe mpaka mtu akukasirishe kweli atakua amezidi maana huwa hunaga hasira za haraka

Jr
 
Back
Top Bottom