[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi leo umepuliza cha wapi eti?? Sasa si bora hata uitwe ng'ombe mama,, watu tumetukanwa matusi ya haja kama matusi yangekuwa yanatoboa wengine saa hii miili yetu ingekuwa kama machujio..
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui ukiulizwa kwa nini unaoa karne hii utajibu nini!
Kitu ka hiyo
Nimeuona.Sijui ukiulizwa kwa nini unaoa karne hii utajibu nini!
Kitu ka hiyo
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Neno hilo mkuu, sema ndugu yangu wewe mpaka mtu akukasirishe kweli atakua amezidi maana huwa hunaga hasira za harakaFirst ignore
Second hit where it hurt most...!!! Bila hivyo hatutaheshimiana.... Uhuru wa utambulisho bandia lazima uheshimiwe na usitumiwe vibaya na wasiojitambua
Jr[emoji769]
Natamani nikuamini lakini hapana!!Yaani hao wanakuwa wameamua kuvuka boda kabisa,, nisiwe muongo mie kiwango hicho cha imani bado sijakifikia kwa kweli..
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo huo dear!Kumbe uzi wenyewe ndiyo huo,, basi siku hizi nimekuwa mvumilivu sana maana huo uzi leo mchana nimeupitia na nimesoma baadhi ya comments zao za kipuuzi ila nikapita kimya bila kutia neno.. yanashauriana ujinga tu
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Saivi kijiba kilienda wapi eti jamani
Sawa auntieNimeuona.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa kweli hapo ndipo wazazi tunapofeli [emoji13][emoji13][emoji13][emoji13] mzazi sasa nimeongea
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasa hivi nimekuwa mvumilivu mno mimi jamani
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah...mkwe ujue umeenda shule wewe, maneno huwezi soma, picha pia?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bora tumepata kijiwe chetu cha kahawa.
Nikiitwa Furu ntafuata ushauri wa Jiwe alivyowaambia watoto wa Sekondari kule Singida.[emoji109][emoji109][emoji116]
Jr[emoji769]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sijavuta hata Mirinda nyeusi mimi, Meona tuu ndoa inavyokandiwa, wanawake wanavyokejeliwa nikachokaa!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Neno hilo mkuu, sema ndugu yangu wewe mpaka mtu akukasirishe kweli atakua amezidi maana huwa hunaga hasira za haraka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sema na wewe kuna kipindi unawateteaga mno khaa,, sijui wanakuhonga nini.. [emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ohhhhh noooo dah nimechekaaa sanaKuna mahali inafika uvumilivu unaisha.. Utu unakutoka... Maana inakera sana... Siku hizi sibishani na mtu.. Nambanika kimya kimya halafu namwendea PM namwambia wazi hiyo kazi ni mimi
Jr[emoji769]
Natamani nikuamini lakini hapana!!
Wewe ulokuwa mbogo leo unaitwa babe?! Tuuachie muda uamue kwa kweli