Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Chanzo cha mafurushi hiki hapa


Jr
 
I second you,, mie kuna mtu aliniuliza eti mbona sichangii kwenye nyuzi nyingine nipo huku tu nikamuambia huu uzi ndiyo nimeshafunga nao ndoa hivyo tena ya kikristo maana nalala nao naamka nao.. nisipokuwa humu basi nipo kule kwenye uzi wa kupeana likes nimemaliza sitaki stress mie
Bora mie sijapitia nyuzi zingine kabisa humu, ni hapa tu.
Pole sana mama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe wanakuogopa kaka!! Sasa kina sisi utaomba poo
Sio kila post lazima ujibu Sakayo au mfano mtu akiku quote kwa upambavu wake unamuweka kwenye ignore list huna haja ya kushindana na watu wasiojulikana, unajua Jf ilikua zamani watu waliheshimiana na watu walikua na hoja kuliko matusi sio siku hizi vitoto ni vingi na vina maneno kweli na majibu ya hovyo.. Ukitaka kuishi maisha yenye furaha jifunze kupuuzia
 
20191214_203250.jpg
 
Sio kila post lazima ujibu Sakayo au mfano mtu akiku quote kwa upambavu wake unamuweka kwenye ignore list huna haja ya kushindana na watu wasiojulikana, unajua Jf ilikua zamani watu waliheshimiana na watu walikua na hoja kuliko matusi sio siku hizi vitoto ni vingi na vina maneno kweli na majibu ya hovyo.. Ukitaka kuishi maisha yenye furaha jifunze kupuuzia
Na hivyo ndo huwa nafanya, ila sijawahi weka mtu kwa ignore list!!
 
hivi leo umepuliza cha wapi eti?? Sasa si bora hata uitwe ng'ombe mama,, watu tumetukanwa matusi ya haja kama matusi yangekuwa yanatoboa wengine saa hii miili yetu ingekuwa kama machujio..
Hahahahahaha
Mimi napenda sana amani kwa kweli, wangeniita ngombe nitaambia nini watu mimi jamani!! Ningeumia sana, baada ya kuusoma upepo nikaona nikuje huku kutoa sumu mwilini...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
First ignore
Second hit where it hurt most...!!! Bila hivyo hatutaheshimiana.... Uhuru wa utambulisho bandia lazima uheshimiwe na usitumiwe vibaya na wasiojitambua
Sio kila post lazima ujibu Sakayo au mfano mtu akiku quote kwa upambavu wake unamuweka kwenye ignore list huna haja ya kushindana na watu wasiojulikana, unajua Jf ilikua zamani watu waliheshimiana na watu walikua na hoja kuliko matusi sio siku hizi vitoto ni vingi na vina maneno kweli na majibu ya hovyo.. Ukitaka kuishi maisha yenye furaha jifunze kupuuzia

Jr
 
I second you,, mie kuna mtu aliniuliza eti mbona sichangii kwenye nyuzi nyingine nipo huku tu nikamuambia huu uzi ndiyo nimeshafunga nao ndoa hivyo tena ya kikristo maana nalala nao naamka nao.. nisipokuwa humu basi nipo kule kwenye uzi wa kupeana likes nimemaliza sitaki stress mie

Sent using Jamii Forums mobile app

Bora tumepata kijiwe chetu cha kahawa.
 
Chanzo cha mafurushi hiki hapa


Jr
Nimeelewa lugha za mjini sasa.
 
Back
Top Bottom