Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mimi niogope na nilikuwa katikati yao mpaka yakayamwagwa ya kuyamwagwa UMENISAHAU 😹😹😹

Wote wananijua vizuri siwaogopi..

Sema nini muungano wa wachawi haujawahi kudumu..!!

Mtoa idea ya uchonganishi hajaamini macho yake alivyokwapuliwa bwana 😹😹

Mimi na Antonia tupo sana ugomvi wetu ulisukwa na haukuwa wa mboo za kugombania za mafungu..
Huyo mtoa idea ya kugombana ni nani? Hapo ndio unaogopa kusema, unaacha ndala😅
 
Hilo halina ubishi ndiomana wakatuvuruga ili wapate upenyo wa kumdhalilisha asipate mtetezi..!!

Si unakumbuka shengesha tulomfanyia babu miga mpaka akarusha taulo..!! 😹😹😹

Roho iliniuma nilichelewa kuusoma mchezo.

Kupigana na kijiji kizima sio kazi ndo imagine ukoo mzima unaunga nguvu kumshambulia tonnia famchezo na mnywani ake Kapachino weyee😄😄😄!

Anyways tuchat na picha.
 
Hilo halina ubishi ndiomana wakatuvuruga ili wapate upenyo wa kumdhalilisha asipate mtetezi..!!

Si unakumbuka shengesha tulomfanyia babu miga mpaka akarusha taulo..!! 😹😹😹

Roho iliniuma nilichelewa kuusoma mchezo.
Husemi ni kina nani, huo ni uoga
 
😹😹😹😹 Uduguu niache nacheka hapa mpaka najitisha ujue sauti inazunguka.!!
😄😄😄😄😄😄

Mliniamulia walai mpaka nikawaza kwani lamo nae amefumuliwa na mio???? Ni anamuelewa anga??? Mpaka nikamwambia Smaa hebu fanya umtombe Lamomy kwanza ili tupigane vijembe vizuri khakhakhaaa! Akawa anacheka tu
 
Utasikia baba nitafutie mama mwingine. Hahaha.

December ntakuletea! Sema kimbeya icho sijui kimejifunzia wapi
Mama nishapatikana asijali 🥰🥰🥰

Wewe nilikwambia nataka nimpe zawadi umejizungusha mpaka nimegawa..!!

Sasa ole wako December uzingue tena 😹😹
 
😄😄😄😄😄😄

Mliniamulia walai mpaka nikawaza kwani lamo nae amefumuliwa na mio???? Ni anamuelewa anga??? Mpaka nikamwambia Smaa hebu fanya umtombe Lamomy ili tupigane vijembe vizuri kwanza khakhakhaaa! Akawa anacheka tu
Nitake radhi uduguu, sijawahi hata sekunde moja kumuwazia Mio kimapenzi..!! 😥

Hata kwenye maisha yangu ya nje ya JF sijawahi kumtamani mpenzi wa rafiki yangu..!!

Ile kukuamulia nilichelewa wale wangese baada ya kutengenezewa tashtiti..!! 😹😹
Unajua kuna vitu vingi sana nililetewa pm na aliyetumwa ni mtu uliyekuwa unamuamini sana..!!
 
Back
Top Bottom