Christine_1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 30,859
- 43,768
🤣🤣🤣🤣katoro kwenye lile jokakatoro ndiko nyumba ilipo ,kitalu burigi ,usihofu Mtumishi
Siendi
🤣🤣🤣🤣katoro kwenye lile jokakatoro ndiko nyumba ilipo ,kitalu burigi ,usihofu Mtumishi
Mtumishi kwa cv yako humu na nje hayo yote uliyosema ni uongo,binafsi siamini hata aje YesuHizo bold kwann huamini ?
Hilo la mwisho ss utakua umeupiga mwingi sana...
Waiting in vain
Uzuri mie huwa sidanganyi...na sina sbb za kufanya hivyoMtumishi kwa cv yako humu na nje hayo yote uliyosema ni uongo,binafsi siamini hata aje Yesu
siwezi kuamini ujue maaana nahisi tulichange namba nikapoteza simu ila siamini usemayo, kula kwa shikamo sidhaniUzuri mie huwa sidanganyi...na sina sbb za kufanya hivyo
Mie jobless sina issue...nakula ugali wa shikamoo kwa mzee...
Hahaha 😁
Na nimekopa bundle now
We unaiogopa?😅Ntakata moto! Hata kabla dawa haijaniingia vizuri. Huiogopi jamuhuri
Yeah ht mi nimebadirisha sn cmsiwezi kuamini ujue maaana nahisi tulichange namba nikapoteza simu ila siamini usemayo, kula kwa shikamo sidhani
telegram siingii tena , kula home ni wajibuYeah ht mi nimebadirisha sn cm
Bt hua nakuuona telegram 🤣🤣
Sa ukila home si ndo kwa shikamoo
Waziri mwenye dhamana ana dili na kina uncle T na lukole.We unaiogopa?😅
😁😁wajibu kwa watttelegram siingii tena , kula home ni wajibu
hebu fanya kunitafuta wiki ijayo
sawa sawa ukipata mzazi wa muelewa hivyo inapendeza sana, ila tatizo mtu unataka kabisa kujiweka sehemu ila unahofia unaeza kuta jimbo lina mgombea wa kudumu😁😁wajibu kwa watt
Sie watu wazima sio issue wazee wanatuvumilia tu....wanajua ajira hakuna tunapambana tu
Ngoja nitakuchek mkuu
Yaa wqzee wanaelewa mbonasawa sawa ukipata mzazi wa muelewa hivyo inapendeza sana, ila tatizo mtu unataka kabisa kujiweka sehemu ila unahofia unaeza kuta jimbo lina mgombea wa kudumu
We chino umeamka na hang-ova🤣Oya cocastic mtu mbad wewe umetumia njia gani kumvuta huko telegram.
Na kama umemuumga kwenye magroup yako sijui ya Raha za pwani tutagombana hapo
hahahaha wazee now wanajua hali halisi ya ajiraYaa wqzee wanaelewa mbona
Na wanatusaidia wanapoweza..
🤣🤣🤣rti unahofia jimbo lina mtu wa kudumu
Nimecheka sn
🤣🤣🤣siaminihahahaha wazee now wanajua hali halisi ya ajira
eeh naona majimbo yote humu yana wagombea wa kudumu, yaani yale majimbo ambayo naona kama haya nikiwa mbunge hapa nanenepa nakuja kukuta kumbe lina jimbo lina mbunge wa kudumu ,nabaki mwenyewe
acha nitafute kdg kdg
Pesa ngumu sana Kuna mda mpaka network zinacheza. Na sisi Mimi tu ongezeko la watanzania wanaongea peke yao limeongozeka sana.( Afya ya akili is real)We chino umeamka na hang-ova🤣
Umemuita mtu ht hahusiki
Hahaha acha awape airtime kina lokole ma anko noeli😅Waziri mwenye dhamana ana dili na kina uncle T na lukole.
Atafuatilia kweli kesi yangu.
Seme mizimu ya kizigua na kinguu haita kuacha salama mtoto
hahahahaha s ,umeanza kukwepa kijanja ,sio kila jimbo ,nina ma jimbo kadhaa nayoyatamani mojawapo kulimiliki🤣🤣🤣siamini
Mbona mengi tu yapo wazi?
🤣🤣🤣🤣🤣duh nimecheka ila chinoPesa ngumu sana Kuna mda mpaka network zinacheza. Na sisi Mimi tu ongezeko la watanzania wanaongea peke yao limeongozeka sana.( Afya ya akili is real)
Aah sasa hapo umeongeahahahahaha s ,umeanza kukwepa kijanja ,sio kila jimbo ,nina ma jimbo kadhaa nayoyatamani mojawapo kulimiliki