binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 15,605
- 42,678
Wifi acha uongo mbona mi kamera hainipi shepu kama lako.Hapana avatar sio mie mamchu! Afu mi hata sina shepu mjue nashangaa nikipiga camera inanitoaje sijui!!
Acha janja janja FC 😂
Wifi acha uongo mbona mi kamera hainipi shepu kama lako.Hapana avatar sio mie mamchu! Afu mi hata sina shepu mjue nashangaa nikipiga camera inanitoaje sijui!!
Kuwa na heshima na shemej ako mzee mambo ya pic achana nayo kabisaHuwezi kurogwa bwana! Mbona binti kiziwi , kaweka picha kali hajarogwa. Hata hivyo sio ugomvi, siku ukijisikia kuweka picha nitag. 😊
Nitakutag😎Huwezi kurogwa bwana! Mbona binti kiziwi , kaweka picha kali hajarogwa. Hata hivyo sio ugomvi, siku ukijisikia kuweka picha nitag. 😊
Unanikosea sana!kwangu wewe sio mpitaji😁
Kijana uko wapi nikutumie nauli uje tupige stori 😂😂🥰🥰Wadau mpo
View attachment 3664015
Sorry BuUnanikosea sana!
Sorry Bu
Huna haja ya kutuma nauli drop tu locationKijana uko wapi nikutumie nauli uje tupige stori 😂😂🥰🥰
Unamjua huyu jamaaHuna haja ya kutuma nauli drop tu location
Basiiiii imekwishaaaa!Huna haja ya kutuma nauli drop tu location
Love you sana chimama♥️
Aww hunny bunny 💋Love you sana chimama♥️
Afande ZCO huyoUnamjua huyu jamaaView attachment 3664075
Chek piem nmeshakutumia nipo kasulu hapaBasiiiii imekwishaaaa!
Nina pistol mbili na assault rifle…..Baba mkwe heshima yako
Toto lips dendaAww hunny bunny 💋
KamandaUnamjua huyu jamaaView attachment 3664075
Mtu wa kazi sana huyuu .Kamanda
Wewe dawa yako ipo😀Toto lips denda
BonjourWewe dawa yako ipo😀