Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 46,153
- 97,853
hahahahaha,Aah sasa hapo umeongea
🤣🤣wala sijakwepa
hahahahaha,Aah sasa hapo umeongea
🤣🤣wala sijakwepa
Sijui ni iimaru ianze kukusaka huko uliko.Hahaha acha awape airtime kina lokole ma noeli😅
Mizimu mimi nimeikosea nini wakati waziri ndio atadeal nawewe😅
Shallom Mtumishi, Deni lako mbona chache sana hivi.Uzuri mie huwa sidanganyi...na sina sbb za kufanya hivyo
Mie jobless sina issue...nakula ugali wa shikamoo kwa mzee...
Hahaha 😁
Na nimekopa bundle now
hahahahahaShallom Mtumishi, Deni lako mbona chache sana hivi.
Tafuta siku uniombee🤣🤣🤣🤣🤣duh nimecheka ila chino
Kweli nilijubu kutokana na comment yakohahahahaha,
twambomboShallom Mtumishi, Deni lako mbona chache sana hivi.
hahahahahaKweli nilijubu kutokana na comment yako
Hahaha
Mimi nimetoka sasa hivi kuongea pekeangu aisee hali si hali🥹Pesa ngumu sana Kuna mda mpaka network zinacheza. Na sisi Mimi tu ongezeko la watanzania wanaongea peke yao limeongozeka sana.( Afya ya akili is real)
hahahahahaha,Mimi nimetoka sasa hivi kuongea pekeangu aisee hali si hali🥹
Haitaniweza mwenyewe naishi kama mzimu hapa😎Sijui ni iimaru ianze kukusaka huko uliko.
duhHaitaniweza mwenyewe naishi kama mzimu hapa😎
😍🤣Mimi nimetoka sasa hivi kuongea pekeangu aisee hali si hali🥹
Sawa chinoTafuta siku uniombee
Noma snhahahahaha
hahahahaha,wiki ijayo si ni kesho tu inaanza?Noma sn
Ngoja nisubiri wiki ijayo🤣
Juzi Kuna dada nimepishana nae nikamsikia anasema jua ni Kali acha niende ivo ivo! Nikasema huyu anaongea na nani na simu hapana! Na Mimi hapana. NAMI nikaishia kucheka peke anguMimi nimetoka sasa hivi kuongea pekeangu aisee hali si hali🥹
dah si mchezo ,life imekua tyt sanaJuzi Kuna dada nimepishana nae nikamsikia anasema jua ni Kali acha niende ivo ivo! Nikasema huyu anaongea na nani na simu hapana! Na Mimi hapana. NAMI nikaishia kucheka peke angu
Usije ukaanza nishushia ma threadz Kila siku jukwaani watu wakasema umepatwa na niniHaitaniweza mwenyewe naishi kama mzimu hapa😎