Christine_1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 30,380
- 42,453
Abeeeee bossMtumishi
Abeeeee bossMtumishi
😁😁😁Sio zote …. Za mwingine zinakufanya vibaya ila usipokutana nae unakua poa tuu kimbembe ukutane nae.. mi yashanikuta naelewa
Wanasema zikikupenda unanawiriNaulizia kuhusu physical,
Ninunulie swimming costume kabisa nakujaIsije ikawa ni sleeping sickness.
Badilisha iyo hobby. Njoo nikufundishe kuogelea
Jamani haya mazingira yanavutia sana😍View attachment 3662579
Tumepishana😃 nilinogewa na upepo
Ni uhakika Nina ushahidiii 🤸🏽♀️👌🏽Wanasema zikikupenda unanawiri
Ukikutana na kimeo unafubaa
Ila sina uhakika😁😁
Mie tena!!
Jembe ni jembe😃😃Jamani haya mazingira yanavutia sana😍
Ni wapi hapa?
hahaha kwaiyo umeiona unichaneMie tena!!
Halafu umenipigisha story wee kupita aanh!😀
Makebo makubwa sio mwisho wa mambo yote 😂Kwa hizo shot zote!! Kunyofoka ni ngumu ama kweli
Angalia usije ukaichana😁Nipo na notebook, hakuna kuigia daftari langu 🤗
Amini kwamba!! Kikubwa ni kujikubali. Nimependa sana iyo confidence madam.Makebo makubwa sio mwisho wa mambo yote 😂
umekuja kivingine,selfika kdgAbeeeee boss
Wee siku hizi pamekuwa hivi?🫢Jembe ni jembe😃😃
Ndio😎hahaha kwaiyo umeiona unichane
😃😃Hapo kabla haujafika jembe ni jembe penyeweWee siku hizi pamekuwa hivi?🫢
Hmm kipindi nasoma chuo nilikuwa naenda hapo avash, jembe nilikuwa naenda nilipomaliza six! Aisee palikiwa panahit, yule roberto wa amarula alikuja pale mwaka ulee oyaa🫢😃😃Hapo kabla haujafika jembe ni jembe penyewe
Sijaenda muda mrefu nilikua mdau mkubwa wa Avesh naona saiv wamefunga
Kwamba mtu ale kimoja kimoja asifakamie vyote kwa pamoja au???