Christine_1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 30,307
- 42,235
Hahaha sijui watumia baga watuambie
Kila kitu kwa kiasi jmn
Mboga iwe kwa wingi....kuliko hivyo vingine
Hahaha sijui watumia baga watuambie
Umenitamanisha kula baga leo 😋
Peke yakoOoh napajua nimeshalala hapo pametulia sana!
Ndio jamani, huwezi lala peke yako?Peke yako
Au ulifungwa kama nilivyofungagwa mie na mtoto wa pwaniNdio jamani, huwezi lala peke yako?
We jua tu ukivicombine ni unhealthy😂Hahaha sijui watumia baga watuambie
Kila kitu kwa kiasi jmn
Mboga iwe kwa wingi....kuliko hivyo vingine
Jiridhishe nafsi yako mamaUmenitamanisha kula baga leo 😋
Akhaa! Sio mambo yangu hayo😃Au ulifungwa kama nilivyofungagwa mie na mtoto wa pwani
Sasa wewe unapenda nini kulala hutaki! Tabia mbaya huziwezi piaAkhaa! Sio mambo yangu hayo😃
Nalala ila mwenyewe, na enjoy maisha bila opposite gender kuniletea hiyo enjoyment!Sasa wewe unapenda nini kulala hutaki! Tabia mbaya huziwezi pia
Hii kuchapwaa inabidi uje na mkakati madhubuti kweli kweliNalala ila mwenyewe, na enjoy maisha bila opposite gender kuniletea hiyo enjoyment!
Hiyo huwa ipo ila haifanyi ushindwe kuishi maisha yako bila kupitishwa hukoHii kuchapwaa inabidi uje na mkakati madhubuti kweli kweli