Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😃😃Hapo kabla haujafika jembe ni jembe penyewe

Sijaenda muda mrefu nilikua mdau mkubwa wa Avesh naona saiv wamefunga
Hmm kipindi nasoma chuo nilikuwa naenda hapo avash, jembe nilikuwa naenda nilipomaliza six! Aisee palikiwa panahit, yule roberto wa amarula alikuja pale mwaka ulee oyaa🫢
 
Hmm kipindi nasoma chuo nilikuwa naenda hapo avash, jembe nilikuwa naenda nilipomaliza six! Aisee palikiwa panahit, yule roberto wa amarula alikuja pale mwaka ulee oyaa🫢
Palikua pa moto sana


Miaka mingapi hapa ziwa liliongezeka kwel Avash pakaharibika sana wamejaribu kuludisha kama zaman naona wameshindwa wamepatelekeza😃

Nikienda tena nitakupigia picha uone palivyogeuka magofu


Jembe sijajua ila na wao pia walikumbwa na issue ile ile
 
😃😃Sijawi kwenda kabisa huko naishiaga Semanene pale jina jingine Tamali
Ooh napajua nimeshalala hapo pametulia sana!
Week hii utaipata nikienda tena

Mbona watu bado walikua wanaenda
Fanya kweli aisee..

Labda waliendea jina tu ila haikuwepo tena ilimezwa, hata dr jembe hakuendelea kuipambania maji yalizidi unga😅
 
Ooh napajua nimeshalala hapo pametulia sana!

Fanya kweli aisee..

Labda waliendea jina tu ila haikuwepo tena ilimezwa, hata dr jembe hakuendelea kuipambania maji yalizidi unga😅
Itabidi nifike nione huwa wanafata nini kule...
 
Back
Top Bottom