Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Itakuwa ni kweli kuna jamaa aliwahi kuniambia "JF unatafuta nini zaidi ya porn" sikumwelewa , huenda alikutana na uzi kama huo😄.
Sio poa 😂 , Mimi zangu nilifuta sababu niliingia woga Kuna jamaa kichaa sana sasa hivi amepotea Jf niligombana nae nikahisi anaweza kuziDownload na kuanza kutumia vibaya KuniBully .

Sasa siogopi sababu najua hata akichukua picha zangu hawezi kuzitumia Jf atakumbana na Ban Kali kutokana na Sheria za Jf kutoruhusu kufichua mtu uhalisia wake .
 
Okay 👍, mbona naona watu wanapitisha videvu sasa, wengine visigino, kuna mwingine huko kwenye uzi mwingine (jina limehifadhiwa) kapita na kivuli, yaani ni vurugu tupu. Enewei nimekuelewa lakini ahsante ✊.
Binti wa kale sio😎 nakuelewa jaribu kupita basi punguza maneno kijana! Vitendo vipewe kipaumbele😁
 
Naked anamaanisha kupita Na picha yako bila kuficha...


P@rn unazungumzia Jukwaa la wakubwa lilishagungwa muda mrefu sasa😃
Ulishawahi kuwepo jukwaa la wakubwa ?

Mimi enzi hizo nilitamani sana na kuwaomba mods DM waniunge hawakuniunga , nadhani kwa vile nilikuwa around 17 -18 years ndio maana hawakuniunga . Niliumia sana jukwaa kufungwa halafu Mimi sijawahi kuona hata linafananaje .

Najiuliza mtu alikuwa anaenda jukwaa lile na ID yake ya heshima kweli au kule ilikuwa aibu utaona wewe ? 😂 😂 😆

Mimi ningekuwepo ningekuwa napita kimya kimya bila kuComment wala KuLike
 
Ngoja nijaribu kuusaka nitakuTag , alianzisha Mzee Bujibuji na yeye alianza kwa kujitupia full . Watu wakawa wanashuka tu maneno kidogo picha nyingi bila kificho , wengine wakaomba mods wafute uzi kuwa umewekwa kimitego kuwanasa watu
Kwani walikuwa wanashikiwa mapanga kuweka picha, watu wanajishtukia sana aisee🫢 hebu nitag mie nikajichagulie mume🤸🏽‍♀️
 
Ulishawahi kuwepo jukwaa la wakubwa ?

Mimi enzi hizo nilitamani sana na kuwaomba mods DM waniunge hawakuniunga , nadhani kwa vile nilikuwa around 17 -18 years ndio maana hawakuniunga . Niliumia sana jukwaa kufungwa halafu Mimi sijawahi kuona hata linafananaje .

Najiuliza mtu alikuwa anaenda jukwaa lile na ID yake ya heshima kweli au kule ilikuwa aibu utaona wewe ? 😂 😂 😆

Mimi ningekuwepo ningekuwa napita kimya kimya bila kuComment wala KuLike
Sijawai kuwepo mkuu huko😃😃


Ila behaviorist alikuwa ana story za huko kila siku anazileta Selfika sijui kaenda wap huyu jamaa
 
Kwani walikuwa wanashikiwa mapanga kuweka picha, watu wanajishtukia sana aisee🫢 hebu nitag mie nikajichagulie mume🤸🏽‍♀️
Ule uzi ulikuwa Vibe aibu utaona wewe watu wanapiga live naked , nashangaa humu mnaogopa mkipost hampost naked halafu mnafuta mara kwa mara kila nikija nakuta peupe 🤣 😂

Ngoja niSeti mitambo niusake ila nadhani watu wengi watakuwa washafuta picha zao mule kama Mimi nilivyofuta .
 
Back
Top Bottom