Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ule uzi ulikuwa Vibe aibu utaona wewe watu wanapiga live naked , nashangaa humu mnaogopa mkipost hampost naked halafu mnafuta mara kwa mara kila nikija nakuta peupe 🤣 😂
Haters baba hatupumui, achieni zenu nyie msio na nyota za kunguni🤣
Ngoja niSeti mitambo niusake ila nadhani watu wengi watakuwa washafuta picha zao mule kama Mimi nilivyofuta .
Duhh mgeziacha tu wageni tujionee vya kuona🙌🏾
 
Sijawai kuwepo mkuu huko😃😃


Ila behaviorist alikuwa ana story za huko kila siku anazileta Selfika sijui kaenda wap huyu jamaa
Behaviorist , Mzee wa makebo hana mpinzani kwenye sekta hiyo hapo sasa kapotea sana Jf .

Members walikuwa Wana sifa stori za kule wanakuja kututamanisha kwenye majukwaa mengine
 
😃😃😃 Mwanangu sana wewe
Kitengo cha kusagia Kunguni na kuchochea moto unakiendeleza angekuwa Bill The Don na Mr Kiwembe ningekimbia humu 🤣😆

Bill The Don aliwahi kunitishia kuwa nikimpinga Malkia wake kwenye Uzi Korean ataanza kunisagia Kunguni kwa (______) na atafosi iwe couple yangu , ikabidi nikubaki na kuwa chawa wa Bill The Don ndio maana mkaona nasapoti Malkia wake mpya Bill The Don kipindi kile wa kuitwa Baby D kule Korean .

Ile timu naiogopa waliwahi kukusakizia Couple humu mpaka ikawa kama kweli vile bila utata 😂 😆
 
Kitengo cha kusagia Kunguninna kuchochea moto unakiendeleza angekuwa Bill The Don na Mr Kiwembe ningekimbia humu 🤣😆

Bill The Don aliwahi kunitishia kuwa nikimpinga Malkia wake kwenye Uzi Korean ataanza kunisagia Kunguni kwa (______) ikabidi nikubaki kuwa chawa wa Bill The Don ndio maana makaona nasapoti Malkia wake mpya Baby D kipindi kile kule Korean .

Ile timu naiogopa waliwahi kukusakizia Couple humu mpaka ikawa kama kweli vile bila utata 😂 😆
Dah acha tuu kaka wakivalia njugu hutoboi😃
 
Uzi si ni huu apa


Swala la kufukua makaburi humu mnipe heshima yangu

Nakubali IT , ngoja na Mimi niupitie tena naona umeenda kuufufua kabisa ila nahisi sasa Wadau wengi watakuwa washafuta picha zao maana jamaa ilikuwa kama alituroga hivi 😂
 
Aah pita nae kwanza biashara ikifeli nipo hapa kukuletea mwingine nina vijana elfu 30 kama Sheikh mwaipopo😃
Yule Sheikh comedy kweli eti vijana wanatembea kilometa .......😂 😆 😆

Mammae hii ichi 😂 😆 🤣🤣 mtu anajitangazia kumiliki kundi hadharani halafu mamlaka zinamchekea . Zile clip zake nacheka sana ile confidence yake
 
Haters baba hatupumui, achieni zenu nyie msio na nyota za kunguni🤣

Duhh mgeziacha tu wageni tujionee vya kuona🙌🏾
Huu uzi naujua sasa hivi Amani hakuna Haters na majungu , kumepoa hakuna vita .Ulivyoanza huu uzi nilikuwa nauchukulia poa sababu niliona kama kijiwe cha Amani na kupiga stori tu na kuchangamshana

Kuna mwaka kabla ya wewe kujiunga nikasema ngoja nichungulie nikakuta vita sio poa , kubwa sijawahi kuona Jf ikihusisha makundi kibao na machawa . Ikafika hatua mpaka watu kupeana vitisho vikali na kutoleana mambo ya faragha . Nilibakaki pembeni nashuhudia mtanange bila kuchangia chochote na nikajifunza mengi sana pamoja na unafiki wa watu humu na tabia za members wengi.

Vita vya pili siku ishuhudia niliikutia mwishoni niliona na wewe unakiwasha humu 😂 😆

Sasa Kuna Amani hakuna majungu , vita wala haters ndio maana kwa mara ya kwanza nimekuwa active humu coz naona mazingira tulivu
 
Yule Sheikh comedy kweli eti vijana wanatembea kilometa .......😂 😆 😆

Mammae hii ichi 😂 😆 🤣🤣 mtu anajitangazia kumiliki kundi hadharani halafu mamlaka zinamchekea . Zile clip zake nacheka sana ile confidence yake
Kaka acha tuu🤣🤣🤣 yan siku naangalia anavyojinasibu nilicheka sana
 
Back
Top Bottom